Balile: Kwa miaka sita mfululizo Tanzania ilikuwa na anguko la uhuru wa vyombo vya habari mpaka Rais Samia ulipolidhibiti

Magazetini

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
588
1,698
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania akiwa Arusha kwenye siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani amesema ripoti zinasema kulikuwa na anguko wa uhuru wa vyombo vya habari nchini kwa miaka sita mfululizo lakini sasa hali inatia matumaini.

Balile amesema anguko lilikuwa linaendelea kuelekea kusikojulikana mpaka Rais Samia alipoingia madarakani na kulilidhibiti.

Balile amesema Tanzania haitashuka tena kwenye uhuru wa vyombo vya habari.

Balile.jpg
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania akiwa Arusha kwenye siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani amesema ripoti zinasema kulikuwa na anguko wa uhuru wa vyombo vya habari nchini kwa miaka sita mfululizo lakini sasa hali inatia matumaini.

Balile amesema anguko lilikuwa linaendelea kuelekea kusikojulikana mpaka Rais Samia alipoingia madarakani na kulilidhibiti.

Balile amesema Tanzania haitashuka tena kwenye uhuru wa vyombo vya habari.

View attachment 2209701
Sasa huyo Balile mbona anajifanya haelewi Kiswahili, mama "kadhibiti" au kaondoa udhibiti uliowekwa na Magufuli, mama karuhusu siyo "kadhibiti". Aache lugha za kijinga, awe mkweli na muwazi tu, asiwe kama panya kuuma na kupuliza.
 
Yaani Balile alitamka habari za uongo zichekewe ?
====
Habari za uongo kama za Musiba?
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania akiwa Arusha kwenye siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani amesema ripoti zinasema kulikuwa na anguko wa uhuru wa vyombo vya habari nchini kwa miaka sita mfululizo lakini sasa hali inatia matumaini.

Balile amesema anguko lilikuwa linaendelea kuelekea kusikojulikana mpaka Rais Samia alipoingia madarakani na kulilidhibiti.

Balile amesema Tanzania haitashuka tena kwenye uhuru wa vyombo vya habari.

View attachment 2209701
Muhaya huyu mpuuzi tu,yeye ndiye aliyekuwa anamsifu Magufuri kuwa,wandishi lazima tuwe na mipaka hatuwezi kuandika kila kitu hata ngambo hawafanyi hivo,Leo hii ameingia Samia kaisha geuka kuwa Magufuri aliangusha tasinia ya habari,China na Urusi mbona zinamaendeleo makubwa na hakuna uhuru huo wanao utaka? wandishi wengi hapa nchini ni madalari wa wanasiasa tu,akuna mwandishi anayepigania maslahi ya taifa.
 
Sasa huyo Balile mbona anajoifanya haelewi Kiswahili, mama "kadhibiti" au au kaondoa udhibiti uliowekwa na Magufuli, mama karuhusu siyo "kadhibiti". Aache lugha za kijinga, awe mkweli na muwazi tu, asiwe kama panya kuuma na kupuliza.
Kumbe upo mdada,ila JPM aliwapoteza baadhi ya wafuasi wa Ccm
 
Back
Top Bottom