Niliwahi kutonywa na jamaa m1 yuko kwenye taasisi moja muhimu hapa bongo akanambia, BALALI'S DEATH is UNREAL!
Mie nahisi ajafa ila serikali ikiona inazidiwa watamuua kweli sasa so nae akae mguu sawa. Ukisingiziwa umekufa nawe ufe kwel co unajiachiaachia pipo zinakuona unawapa tab walio danganya.
dah! kweli hili jibu unaweza kukaa chini ulie.Kuna mbunge alikumbushia bunge lilipita...majibu aliyopata, we acha..."Balal kafa na mambo yake yamekufa".
Ni ww ulimuua? acha kuzushia watu vifo!Nijuavyo mimi kafa habari nyingine ni uzushi mtupu.
Ni ww ulimuua? acha kuzushia watu vifo!
Wakati wanaojidai wapiganaji wanaongea siasa, unajiuliza hivi hawa wapigani au wapiga porojo? Si makosa yenu ni Jumamosi leo. Mnanchekesha.
Binafsi nilisikia hivyo hivyo kwamba vc chancellor lipoambiwa akamtonya ****** kwamba jamaa kamba Mwaikusa ameshajua ukweli kuhusu balali na anaongea kwa watu. Nyeti zinadai kuwa hata Baregu aliambiwa na Mwaikusa
Jamani wana JF sijui kama nanyi mlisha isikia hii! nitaanzia mbali mpate picha
Juzi baada ya kazi ni niliingia sehemu furani kupata chakula ilikuwa mida ya mchana, kwakuwa ni katikati ya mji kulikuwa na wafanya kazi wengi kidogo pale.
kama mnavyojua wabongo na story za siasa kwa hivi sasa ni balaa, basi kukawa na kundi furani linazungumzia Tume zisizo leta majibu za Tanzania, katika matukio mbalimbali. Dada mmoja akauliza hivi ule uchunguzi wa mauaji ya Prof aliyeuawa kwa risasi mlangoni kwake nao bado eeh?
hapa ndipo sasa tittle yangu inapoanzia! jamaa mmoja kajibu akasema haiwezi letwa habari hiyo hata siku moja kwani:
YULE PROFESA ALIUWAWA BAADA YA KUTEMBELEA MAREKANI KATIKA JIMBO FURANI HUKO ALIMWONA GAVANA WA B.O.T ANAYEDAIWA KUFA, KISHA AKAJA KUMWAMBIA BOSI WAKE PALE UD, KUHUSU ALICHOKIONA, mmh BOSI AKANYANYUA KITU MKONGA (TTCL) MPAKA KWA MKUU WA KAYA.
jamaa kaendelea kutonya: HAPO NDO MAUTI IKAWA ADHABU YAKE !
MMH ILIKUWA MPYA KWANGU NIkaAZIMIA KUWAULIZA GREAT THINKER'S JE! MLISHA ISKIA HII? au imekaaje?
time will tell, ukweli utakuja julikana tu!!jamani wana jf sijui kama nanyi mlisha isikia hii! Nitaanzia mbali mpate picha
juzi baada ya kazi ni niliingia sehemu furani kupata chakula ilikuwa mida ya mchana, kwakuwa ni katikati ya mji kulikuwa na wafanya kazi wengi kidogo pale.
Kama mnavyojua wabongo na story za siasa kwa hivi sasa ni balaa, basi kukawa na kundi furani linazungumzia tume zisizo leta majibu za tanzania, katika matukio mbalimbali. Dada mmoja akauliza hivi ule uchunguzi wa mauaji ya prof aliyeuawa kwa risasi mlangoni kwake nao bado eeh?
Hapa ndipo sasa tittle yangu inapoanzia! Jamaa mmoja kajibu akasema haiwezi letwa habari hiyo hata siku moja kwani:
Yule profesa aliuwawa baada ya kutembelea marekani katika jimbo furani huko alimwona gavana wa b.o.t anayedaiwa kufa, kisha akaja kumwambia bosi wake pale ud, kuhusu alichokiona, mmh bosi akanyanyua kitu mkonga (ttcl) mpaka kwa mkuu wa kaya.
Jamaa kaendelea kutonya: Hapo ndo mauti ikawa adhabu yake !
Mmh ilikuwa mpya kwangu nikaazimia kuwauliza great thinker's je! Mlisha iskia hii? Au imekaaje?
Jamani wana JF sijui kama nanyi mlisha isikia hii! nitaanzia mbali mpate picha
Juzi baada ya kazi ni niliingia sehemu furani kupata chakula ilikuwa mida ya mchana, kwakuwa ni katikati ya mji kulikuwa na wafanya kazi wengi kidogo pale.
kama mnavyojua wabongo na story za siasa kwa hivi sasa ni balaa, basi kukawa na kundi furani linazungumzia Tume zisizo leta majibu za Tanzania, katika matukio mbalimbali. Dada mmoja akauliza hivi ule uchunguzi wa mauaji ya Prof aliyeuawa kwa risasi mlangoni kwake nao bado eeh?
hapa ndipo sasa tittle yangu inapoanzia! jamaa mmoja kajibu akasema haiwezi letwa habari hiyo hata siku moja kwani:
YULE PROFESA ALIUWAWA BAADA YA KUTEMBELEA MAREKANI KATIKA JIMBO FURANI HUKO ALIMWONA GAVANA WA B.O.T ANAYEDAIWA KUFA, KISHA AKAJA KUMWAMBIA BOSI WAKE PALE UD, KUHUSU ALICHOKIONA, mmh BOSI AKANYANYUA KITU MKONGA (TTCL) MPAKA KWA MKUU WA KAYA.
jamaa kaendelea kutonya: HAPO NDO MAUTI IKAWA ADHABU YAKE !
MMH ILIKUWA MPYA KWANGU NIkaAZIMIA KUWAULIZA GREAT THINKER'S JE! MLISHA ISKIA HII? au imekaaje?
Ndio maana Rost Azi anatawatesa sana,nasikia yeye ndo alitoa concept ya jamaa kifichwa na kuutangazia umma kwa kafa. Juz alimpa mashart wa kaya kuwa asipolipwa hela yake ya dowans atataja kila sirI ya chama na serikali.
huna jipya.Wakati wanaojidai wapiganaji wanaongea siasa, unajiuliza hivi hawa wapigani au wapiga porojo? Si makosa yenu ni Jumamosi leo. Mnanchekesha.