Nyamtoroka, heshima mbele!!!!!!Ndugu zangu baada ya kusikia mama Meghji karudi kuwa mtunza hazina wa CCM kichwa changu kimepata simanzi na Taifa tulilonalo, kwa lugha nyingine watanzania muelewe kesi zote za EPA ni danganya toto kama CCM imerudi kumuamini huyu mama ambaye ndie alikuwa singnatory mkubwa wa fedha za EPA, naomba mwandishi yeyote wa habari akikutana naJK amuulize DR. Balali gavana wa zamani wa BOT yupo wapi? kweli watanzania mnashikwa masikio sasa.
Ndugu zangu baada ya kusikia mama Meghji karudi kuwa mtunza hazina wa CCM kichwa changu kimepata simanzi na Taifa tulilonalo, kwa lugha nyingine watanzania muelewe kesi zote za EPA ni danganya toto kama CCM imerudi kumuamini huyu mama ambaye ndie alikuwa singnatory mkubwa wa fedha za EPA, naomba mwandishi yeyote wa habari akikutana naJK amuulize DR. Balali gavana wa zamani wa BOT yupo wapi? kweli watanzania mnashikwa masikio sasa.
kinana amekuja kumalizia uuzaji wa mbuga zetu kwa waarabu
Nyamtoroka, heshima mbele!!!!!!
Naomba kuuliza na kuweka historia vizuri. Sehemu kubwa ya wizi wa EPA ulifanyika mwaka 2005, na fedha hizi zinadaiwa kumweka madarakani rais J.K. Safu ya uongozi ya mwaka 2005 katika CCM, Mwenyekiti alikuwa Mkapa, Makamu bara Malecela, Zanzibar akiwa Karume. katibu wake alikuwa Mangula na idara ya fedha na uchumi ilikuwa chini ya Marehemu Salome Mbatia. Kipindi kile Zakia Megji hakuwa katika kamati kuu ya chama bali alikuwa waziri wa maliasili na utalii. Najua naye ni mchafu sana hali iliyopelekea kuondolewa uwaziri wa fedha. Ila mwaka 2005 nadhani hakuhusika, huo ni uelewa wangu, kama ni tofauti naomba ufafanuzi.
Masaiti.....
cha ajabu ccm ina wasomi na wachapa kazi wazuri na vijana wengi tu na ambao hawana damu ya kifisadi sasa badala ya kuanza kuwaweka watu kama hao bado wanarudisha magamba yale yale tuliyoyazoea, leo hii wanaweka mangula, meghi, kinana hivi wanapeleka ujumbe gani kwa vijana wa ccm? kwamba wako tayari kurudisha wazee kama akina meghi waliokua na maskendo huko nyuma kuliko kuweka vijana ambao wana damu safi na hawana skendo za kifisadi...nawaonea huruma sana wana ccm hasa vijana
Nyamtoroka, heshima mbele!!!!!!
Naomba kuuliza na kuweka historia vizuri. Sehemu kubwa ya wizi wa EPA ulifanyika mwaka 2005, na fedha hizi zinadaiwa kumweka madarakani rais J.K. Safu ya uongozi ya mwaka 2005 katika CCM, Mwenyekiti alikuwa Mkapa, Makamu bara Malecela, Zanzibar akiwa Karume. katibu wake alikuwa Mangula na idara ya fedha na uchumi ilikuwa chini ya Marehemu Salome Mbatia. Kipindi kile Zakia Megji hakuwa katika kamati kuu ya chama bali alikuwa waziri wa maliasili na utalii. Najua naye ni mchafu sana hali iliyopelekea kuondolewa uwaziri wa fedha. Ila mwaka 2005 nadhani hakuhusika, huo ni uelewa wangu, kama ni tofauti naomba ufafanuzi.
Masaiti.....
Maneno kama hayo bila shaka yatakuwa yanasemwa na vijana wa CHADEMA kuwa yafaa sasa SLAA awapishe vijana ili kupiga hatua moja mbele, lakini kila chama kina wazee ambao ni nguzo za vyama vyao, tunapowashambulia wazee wa CCM ni sawa na memo NYANI haoni ku........le.
Noted.......Asante kwa kuongeza nyama....so what you are saying ni kwamba ni mchafu na hakufaa kuwepo ila ni kwamba hakuchafua wakati ule.........au sijakuelewa vizuri?????
Kujenga na kubomoa yote ni matendo katika ujenzi na hufanywa na fundi ila matokeo ndo huwa tofauti.....!!!!!
Olesaidimu,
Kama post yangu hapo juu nilivyosema, Megji ni mchafu, tena sana. Ana tuhuma nyingi za kifisadi na hivyo hafai kabisa kuwa kiongozi wa chama. Ila katika ufisadi wa EPA nadhani tutakuwa tunamwonea huyu mama, ingekuwa kuuza vitalu, mikataba mibovu aliyoingia akiwa waziri wa fedha nk, hapo ningekuelewa na siyo EPA
jamani! pinda alishasema balali kafa na anayebisha hajafa aonyeshe alipo.kisha akaonya kumjadili marehemu.We wadhan hata ukimwuliza atajibu nn? Sitegemei jibu lolote la maana.....
jamani! pinda alishasema balali kafa na anayebisha hajafa aonyeshe alipo.kisha akaonya kumjadili marehemu.
cha ajabu ccm ina wasomi na wachapa kazi wazuri na vijana wengi tu na ambao hawana damu ya kifisadi sasa badala ya kuanza kuwaweka watu kama hao bado wanarudisha magamba yale yale tuliyoyazoea, leo hii wanaweka mangula, meghi, kinana hivi wanapeleka ujumbe gani kwa vijana wa ccm? kwamba wako tayari kurudisha wazee kama akina meghi waliokua na maskendo huko nyuma kuliko kuweka vijana ambao wana damu safi na hawana skendo za kifisadi...nawaonea huruma sana wana ccm hasa vijana
inawezekana msukuleNani kakudanganya!!? Marehem huwa ana-tweet? Mdingi mzima wa afya anakula pensheni na kumalizia alizotuibia!!! Hiyo ni Tz mkuu.
Nani kakudanganya!!? Marehem huwa ana-tweet? Mdingi mzima wa afya anakula pensheni na kumalizia alizotuibia!!! Hiyo ni Tz mkuu.