Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Hahahahahah TATEPA LTD
Hahahahahah TATEPA LTD
Hahahahah mke wake hamfikishi kileleni ndio shida 🤣🤣🤣!Mkeo shughuli anayo, tena nzito. Nadhani huwa tunawakosea wake zetu ila mkuu wewe unazidisha, she doesn't deserve unachomfanyia.
...kavu ni tamu balaa...
Lkn humtendei haki huyo dada. Hutaki kusikia ana mwanaume mwingine kumbuka wewe una ndoa tayari, hutaki kumzalisha, hutaki kumuoa mke wa pili hapo muda unaenda maskin atakuja shtuka kazeeka na hana lolote. Pole yake.Afu sio vizur mkuu,
ayo maneno yako ndo yanoniletea majanga
Yani huyuu anaweka maisha yake peupee sanaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo mwanamke wake siku akili zikimjia afatiliee huku aisee labda jamaa awe ana mmudu sana huyo mwanamke.Hivi Deep wife wako hanaga account ya JF akaja kuistukia hii michezo yako maana umepitiliza Sana[emoji23]
Jamaa huwa hatumii codes kwenye nyuzi zake anajiachiaga SanaYani huyuu anaweka maisha yake peupee sanaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo mwanamke wake siku akili zikimjia afatiliee huku aisee labda jamaa awe ana mmudu sana huyo mwanamke.
shikamoo Babu , za leo .[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
coz ni chaiJamaa huwa hatumii codes kwenye nyuzi zake anajiachiaga Sana
Yaani huyo dada mpaka siku aje aziduke akili itakuwa ni too late.Amfanye chombo Cha starehe mara ngapi?😅hiyo ni sex machine yake,eti akapagawa alipohisi kampa mimba mtu mwenyewe haeleweki 😅😅😅huyu mwanamke angejua jamaa anavyomchukulia kama lonya 😅😅bt kwajinsi anavyomwelezea anastahili anavyomchukulia,dampo la sperms zake🏃
Yaaan inasikitishaaaHata hivo utamtoa kizazi mwanamke anawezaje fanya ngono hivo kama ameolewa? Huyo mwanaume atakae muoa atakuta hali gani huko? Huyo dada huna mpango nae kila siku kumpanua aisee hana akili.
Ila wanawake wenzangu mmerogwa na nani? Mwanaume ambae sio mmeo anawezaje kukufanya sex toy? Na huyo unakuta ni mtoto mdogo hana hata 28 dah
Na hapo huyo dada utakuta kuna vijana wana nia kabisa ya kumuoa lkn anawazungusha na kuwapiga vibuti kwasababu ya penzi la mume wa mtu. Inasikitisha!Hata hivo utamtoa kizazi mwanamke anawezaje fanya ngono hivo kama ameolewa? Huyo mwanaume atakae muoa atakuta hali gani huko? Huyo dada huna mpango nae kila siku kumpanua aisee hana akili.
Ila wanawake wenzangu mmerogwa na nani? Mwanaume ambae sio mmeo anawezaje kukufanya sex toy? Na huyo unakuta ni mtoto mdogo hana hata 28 dah