Balaa: Mwezi huu, nimenusurika kumpa mimba mchepuko

Balaa: Mwezi huu, nimenusurika kumpa mimba mchepuko

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
43,311
Reaction score
109,518
Wakuu
Nakumbuka Ile December
siku ambayo kesho yake ni xmass,
ndo siku Aliingia period Kwa mwezi huo.

Kisha Kaja kuingia Tena period mwezi January tar 20
Baada ya hapo kaingia Tena period February tarehe 17

Ambapo kimahesabu kwa mwezi huo,
siku zake za hatar nilitarajia zitakua kuanzia kwny tar 28 February Hadi tarehe 5 march na next period yake atapaswa kuingia kwenye tarehe 12 au 13 mwezi march

Sasa wikend ya tarehe 3 march Kuna party flan ya uko kazin kwake tulihudhuria, Tulikunywa sana pombe na kufanyana sana mpk nakuja kustuka tayar ni saa 9 kasoro usiku niko kitandan kwa mama j,

Nakumbuka usiku huo nilikwenda kumwamsha rafiki yangu mmoja (wife anamuamini sana) mkewe kaenda kwao kujifungua anisindikize nyumbani nishaharibu, Kisha anifikishe mpk Kwa wife atuone tujifanye tulikua wote, kisha akalale na gar ili tujifanye tulitoka safar ya mbali nje ya mji msibani. Huo uongo ulifanikiwa[emoji120]

Sasa kesho yake jumapili nawasliana na mamaj
ananiuliza km nmefk salama,ananambia jana yake pombe nilizochanganya zilinizidia sana mpk nimempaka tu shombo hajaenjoy, Leo nirud mapema nikamkate kiu yake

Namuuliza kivipi,
Ananambia jana nmemuungia viwili ndani Kwa ndani ila nltumia mda mfup sana hajaenjoy,ndo alikua kaanza kusquirt nikamuacha njiani. Duh! Kuskia hivo,ikabd kurejea kwny kalenda yake kwny diary ya simu yangu.
Kweli kumbe siku hiyo ilkua ni danger day kwake.
Kichwa kikauma balaa.
 
Moyoni Nikajua hapa tayar kimewaka,
Jana ilkua siku zaKe za hatar, Nikizembea anaweza kunasa mimba huyu. Nifanyie mpango harak wa kumnywesha p2 kijanja kabla ya masaa 72 hayajapita.

Siku hiyo hiyo jumapili usiku nmeenda kwake na p2 mfukoni pamoja na matunda Ili mchakato ufanyike kupitia juice, bahat mbaya kumbe blenda lake kaliazimisha nyumba ya jiran. Akasema usku sn hawezi kumgongea matunda yawekwe kwny friji atatengenza kesho. Nikasema sawa.

Kesho yake jumatatu mchana kanipigia kunitaarifu anaenda Moro kikaz, ila watarud kesho. Nikasema sawa. Jumanne asbh kanipigia anarud, nikamwambia karibu nmekumiss sn na ntakusurpise Kwa mapishi, nielekeze jiran yupi liliko blenda lako. Kweli kanielekeza na kweli juice nmetengeneza. Nmemsubir mpk saa 3 ndo kafika. Kakuta nmempikia kachori za mayai na juice. Kala kafurah na kusifia mapishi, nami kimoyo moyo nikafurashi maana lengo langu tayar limetimia.

Changamoto imekuja ilipofika tarehe 12 mwezi huu,
Nikaona hajaingia period,nikahs kawaida kumiss labda kesho tar 13 ataingia, Nako bila bila sioni dalili za Pedi.

Sasa tar 14 ikabd niombe mechi tufanye
(Sometimes Huwa tukisex sana naitibua anablidi)
Siku hiyo Nmemkamia sana ila Sion hata tone la damu kwny kichwa Wala halalamiki maumivu yyt ya tumbo, ikabd nijipe Tena siku ya kesho nijue ataamka vipi.

Kesho yake tar 15 nmeenda kwake jioni,
Yuko kawaida hajavaa Pedi au kulalamika tumbo
Tumefanya ya kufanya Nmemkamia sana niichokonoe labda itatoka Bado ni bila bila,

baada ya kumaliza kufanya ikabd nimchomekee story nijue labda alishablidi mapema mwezi huu maana siku za nyuma kdg tulkua na ugomvi.

Nikamwambia
"Mpnz wang wkt nanawa nmeona matone ya damu kwny kichwa, nna wasiwasi Utakua umeanza kublidi"

Akasema, "mi sijui, itakua labda,afu Pedi zenyewe nmebak Nazo mbili"

Nikamuuliza, " ujui kivipi, Kwan mwezi huu ujaenda blidi?" Akasema "Bado" nikamjibu kua ntamwachia ela,kesho akanunue Pedi dalili znaonyesha mda wote anaweza kublidi.akasema sawa.

Basi tar 16 juzi nmesubiri ablidi, bila bila

Tar 17 jana niko kwake akanambia anajihisi kichefuchefu, na kweli wkt nasex nae akachomoka kifuani na kwenda chooni kutapika. Mapigo ya moyo yamenienda mbio sana nikihofia mimba nikawa namsistiza kinafiki kesho akapime itakua malelia hiyo.

Akanambia anawasiwasi itakua mimba hiyo nijiandae kuitwa baba maana chuchu zake zmeanza kuuma na kuvimba tangu juzi, kiunafiki nikawa nambusu tumbo lake kua nna hamu sana na mtoto kuliko hata yeye. Basi tukacheka na kufurahi.

Ila Moyoni Sina Raha hata kidg,
Kichwa kinauma balaa nawaza itakuaje
Najilaumu sana kuchanganya pombe na kwenda kufanya mapenzi,juhud zangu zote za p2 Ili kuzuia lisitokee zimegonga mwamba.
 
Kichwani nawaza nnanza vipi maisha haya na mtu mwnyw pasua kichwa huyu, nmewaza makasheshe yake yakianza, wife akijua nalipangua vipi hili.

Nilikua nishaanza kufikiria kuleta Uzi mnishaur naisolve vipi hii situation na yajayo najipanga vipi.

Ila nashkuru mungu alikua upande wangu,
Leo asbh nmemuelekeza maabara Kwa jamaa yang akapime,jamaa kanambia mimba Hana ila ana Malalia
Kama ipo labda itakua changa sana tusubir wiki ijayo inaweza kuonekana kama Bado atashindwa kwenda blidi.

Usiku huu saa 3 nmetoka kwake nmeacha Bado ni bila bila, saa 5 ananitext tayar kaanza kublidi, sikuamini nikajifanya natoka nje naongea na sim nmechukua boda haraka na kuelekea kwake kuthibitisha maneno ayo.

Aisee kweli nmejionea live kaanza kublidi,
Wakuu nmerud nyumbani ila hata usngz hauji Kwa FURAHA NILONAYO Moyoni mda huu HATA HAIELEZEKi

Ukiskia kupitishwa tanuri la moto,
Basi nmepitishwa na nmesota sana kisaikolojia,
Ndani ya hz siku chache nmemkumbuka sana mungu wangu, nmeomba na kusali sana kimoyo moyo.

Ila KWAKWELI nilichogundua
MUNGU ukimuomba Kwa dhati anajibu 100%
NA KWENYE HILI KANIPIGANIA SANA MJA WAKE

Japo nna miaka kibao sijaenda kanisani
Kwa hili kesho ni jumapili lazima nami nikasali kanisani na nikamtolee zaka ya shukrani[emoji120]

NAWASILISHA WAKUU[emoji120]
 
JamiiForums-188530487_698x439.jpg
 
Sema wewe ni mbinafsi pia, muache mtu atimize haja yake ya kuwa na mtoto siyo kila siku kuishia kuitwa mama j halafu hutaki kumuacha amzae huyo j, kama hutaki kuzaa naye wewe basi muache akazae na mwanaume mwingine acha kumfanya mwenzio chombo cha starehe tu
Ubinafs uko wapi sister?
Kuzaa ni mipango sio maamuz
 
Afu sio vizur mkuu,
ayo maneno yako ndo yanoniletea majanga
Mkuu...
Unajua wanaume huwa hawatakiani mabaya.
Hili ninalokwambia kila siku sio napenda kukwambia isipokuwa ndio ukweli wenyewe na huwezi kubadlisha jambo hadi yatukie.

Sitanii na sina sababu ya kukuficha.
Machozi ya mkeo ndio sababu...mkeo anahisia mbaya juu yako, hakuamini anachofanya hii kesi iko kwa Mungu....subiria tu utaona baba
 
Sema wewe ni mbinafsi pia, muache mtu atimize haja yake ya kuwa na mtoto siyo kila siku kuishia kuitwa mama j halafu hutaki kumuacha amzae huyo j, kama hutaki kuzaa naye wewe basi muache akazae na mwanaume mwingine acha kumfanya mwenzio chombo cha starehe tu
Nisaidie kushauri rafiki nimenyoosha mikono
 
Daaa ila we jamaa ipo siku utakamatika tu[emoji28][emoji28].

We jamaa uko real sana na life lako vip kama huyo mkeo&mama j ni wafuasi wa JF bila wew kujua na wanasoma haya?.

Ipo siku utadakwa vibaya na hautokuwa na nafasi ya kujitetea wala kuchomoka[emoji23].

Kuwa makini, hata mm ilinikuta hiyo ishu kujiachia na dem machepechepe yaan kwa akili zake sikuwai tamani awe mke maana tusingefika popote alafu siku tuliharibu kwenye siku zake[emoji23][emoji23],

ponapona yangu ilikuwa kumtilia dawa kwenye maji ya kunywa lkn alistukia mchezo aliforce lazma azae huku mm sikubari kitendo hiko cha kuzaa na fala[emoji23][emoji23] bahat ni kwamba au basi niishie hapo,

Ila kijana kuwa makini, siku si nyingi utakamatika uyatibue kama si kwa mkeo basi kwa huyo huyo mcharuko wako[emoji23]
 
Back
Top Bottom