Juandeglo
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,041
- 2,813
Sikio la kufa huyu..hata asemwe vipi humu bado anmtarufi kesho yake kujinasibu waziwazi kwamba mke wake hajui na ana heshima namna anamkosea na bado hamfanyi chochote...kashashindikana huyu, mwacheni dunia itamfunzaMkeo shughuli anayo, tena nzito. Nadhani huwa tunawakosea wake zetu ila mkuu wewe unazidisha, she doesn't deserve unachomfanyia.