Balaa: Mwezi huu, nimenusurika kumpa mimba mchepuko

Balaa: Mwezi huu, nimenusurika kumpa mimba mchepuko

Sema wewe ni mbinafsi pia, muache mtu atimize haja yake ya kuwa na mtoto siyo kila siku kuishia kuitwa mama j halafu hutaki kumuacha amzae huyo j, kama hutaki kuzaa naye wewe basi muache akazae na mwanaume mwingine acha kumfanya mwenzio chombo cha starehe tu
Amfanye chombo Cha starehe mara ngapi?😅hiyo ni sex machine yake,eti akapagawa alipohisi kampa mimba mtu mwenyewe haeleweki 😅😅😅huyu mwanamke angejua jamaa anavyomchukulia kama lonya 😅😅bt kwajinsi anavyomwelezea anastahili anavyomchukulia,dampo la sperms zake🏃
 
Amfanye chombo Cha starehe mara ngapi?[emoji28]hiyo ni sex machine yake,eti akapagawa alipohisi kampa mimba mtu mwenyewe haeleweki [emoji28][emoji28][emoji28]huyu mwanamke angejua jamaa anavyomchukulia kama lonya [emoji28][emoji28]bt kwajinsi anavyomwelezea anastahili anavyomchukulia,dampo la sperms zake[emoji125]
Punguza ukali wa meneno mkuu[emoji848]
 
Daaa ila we jamaa ipo siku utakamatika tu[emoji28][emoji28].

We jamaa uko real sana na life lako vip kama huyo mkeo&mama j ni wafuasi wa JF bila wew kujua na wanasoma haya?.

Ipo siku utadakwa vibaya na hautokuwa na nafasi ya kujitetea wala kuchomoka[emoji23].

Kuwa makini, hata mm ilinikuta hiyo ishu kujiachia na dem machepechepe yaan kwa akili zake sikuwai tamani awe mke maana tusingefika popote alafu siku tuliharibu kwenye siku zake[emoji23][emoji23],

ponapona yangu ilikuwa kumtilia dawa kwenye maji ya kunywa lkn alistukia mchezo aliforce lazma azae huku mm sikubari kitendo hiko cha kuzaa na fala[emoji23][emoji23] bahat ni kwamba au basi niishie hapo,

Ila kijana kuwa makini, siku si nyingi utakamatika uyatibue kama si kwa mkeo basi kwa huyo huyo mcharuko wako[emoji23]
Acha dharau bana 🤔eti huwezi kuzaa na fala 😅ila k ya fala Wala si ndio?😅😅😅
 
 
Amfanye chombo Cha starehe mara ngapi?😅hiyo ni sex machine yake,eti akapagawa alipohisi kampa mimba mtu mwenyewe haeleweki 😅😅😅huyu mwanamke angejua jamaa anavyomchukulia kama lonya 😅😅bt kwajinsi anavyomwelezea anastahili anavyomchukulia,dampo la sperms zake🏃
NIlishamuonya kuwa mwaka huu hatoboi ataleta kilio hapa.
Aachane na huyo binti naye atafute maisha yake
 
Mkuu na mimi nimepitia situation hiyo hiyo wiki iliyopita. Kuna manzi kichomi pasua kichwa yani akituma text mbili ya tatu lazima alalamike shida na mizinga yake ni kuanzia 50k huko. Halafu kanajiita superwoman! Bladifaken!!!

Nilikamia show ile wiki ya tarehe 3 nikatupia wazungu nje ghafla nashangaa mwenzangu kaukamata mkonga kaurudisha ndani vikiwa vinamalizika vitone vya mwisho. Nilikuja shtuka nikachomoa haraka but nahisi zilibaki ndani.

Aisee na nikipiga hesabu ni kama alikua siku za hatari but i was not 100% sure maana siku zake zinabadilika badilika sana ndani ya hii miezi mitatu iliyopita. Nipo nawaza hapa ila najua hili nalo litapita!!!
 
Back
Top Bottom