Balaa: Mwezi huu, nimenusurika kumpa mimba mchepuko

Balaa: Mwezi huu, nimenusurika kumpa mimba mchepuko

Kupata mtoto ni mipango aisee! Kuna shangazi moja nimepiga peku peku toka trh 23 feb basi nkawa nasubiri tu aniambie nna mimba! Juzi nikaliambia njoo geto likasema liko period aisee sikuamini[emoji23] Jana limeliita piga pumbu ila nna mpango wa kuliacha aisee maan kuna siku nlichelewa kumwaga kikasema mwaga baby nanii hana mdogo ake[emoji23][emoji23]
Ha ha ha...nmesoma comment yako nacheka[emoji1]
Kiukweli ng'ono zembe ni hatar sana,Unajuta Dkk sifuri
 
Yaani maisha ya kutokuolewa magumu wanawake wangejua dah! Yaan unamfanya huku unamkwepa baadhi ya vitu na yeye anaenjoy anaona amefika, hapo akilini mwake anajua unamthamini kuliko hata mkeo na ndio maana ameanza kukufanyia visa ili mkeo ajue wako wawili. Na wewe DeepPond siku ukizaa na huyo kichaa wako ndoa itaishia hapo, mateso utayaona kwa huyo mcharuko wako, utakuja kurudi kwa mkeo muda umeenda sana moyoni ameshakutoa anakuona kama mkata nyasi. Yaan haufikiriagi visa anavyofanya ingekuwa mkeo ungemvumilia? Ana nini cha ajabu kuliko mkeo? Dah ungekuwa kaka/mdogo wangu hiyo umbwa ngeikomesha
Ata niachane na wife
Kumuoa uyu pasua kichwa
mara mia nibaki bachela mana ntakufa mapema
 
Ata niachane na wife
Kumuoa uyu pasua kichwa
mara mia nibaki bachela mana ntakufa mapema
Ni wa nini sasa uko naye? Maku tu ndo isababishe uvuruge familia yako? Yaan ukitafakari izi heka heka zake ni wazi amejaribu kwa waganga wewe ushakunywa adi damu ya hedhi ili umsahau mkeo yeye abaki njia kuu......yaani niko hapa hapa ukimaliza mwaka salama kwenye ndoa yako niitwa LIUMBWA LIKUBWA
 
Mie wife alishaniambia nimpelekee hata watoto mia ila wawe umri ambao sijawapata kipindi tuko nae (atawapokea kiroho safi). Kitu pekee kitasambaratisha mahusiano bila vikao vya familia ni kumletea watoto wanalingana au wadogo kuliko watoto wetu au taarifa za ujauzito huko nje.
 
Ha ha ha...nmesoma comment yako nacheka[emoji1]
Kiukweli ng'ono zembe ni hatar sana,Unajuta Dkk sifuri
😂Sijaona na wala bado sina mtoto ila sitaki kupata mtoto kwa bahati mbaya! Nataka nipate kwa kuamua! Ila nimejifunza kuwa makini sana na hili jambo!
 
Kuwa Makini mkuu, siku akipata mimba huyo Pasua kichwa ndo utajua kwanini nyoka Hana kiuno.
 
Mbona unaonekana una mda wa kuonana na mchepuko sana na ratiba zake wazijua sana sio chai watunywesha hapa
Niko nae mwaka wa 4 huu,
Kila siku tunaonana, mzunguko wake naujua
Namhudumia Kila kitu Hadi Pedi anayovaa[emoji4]
 
Kuwa Makini mkuu, siku akipata mimba huyo Pasua kichwa ndo utajua kwanini nyoka Hana kiuno.
Kwann nyoka Hana kiuno[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Thanks
Reactions: jo5
[emoji23]Sijaona na wala bado sina mtoto ila sitaki kupata mtoto kwa bahati mbaya! Nataka nipate kwa kuamua! Ila nimejifunza kuwa makini sana na hili jambo!
Umakini lazma mkuu
 
NIlishamuonya kuwa mwaka huu hatoboi ataleta kilio hapa.
Aachane na huyo binti naye atafute maisha yake
Mimi ni miongoni mwa watu wanaoomba dua hii itimie. Nasema Amen juu ya huu unabii. Kuna somo flani superb nataman huyu DeepPond alipatage...
 
Back
Top Bottom