OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Upelelezi wa swala la ugaidi ni mgumu sio sawa na kupeleleza aliyeiba kuku! Tulieni TISS ifanye kazi yake ili kesi ikianza watu wapate hukumu inayowastahili. Ila hawa watuhumiwa ingependeza sana endapo wangetupwa Gwantanamo wakisubiri kesi zao kuanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app