Na MMM
UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4, na 7:103-105). UISLAM ni DINI nzuri.
UISLAM siyo dini ya wahuni. BAKWATA ndiyo wanaichoresha na kuifanya ionekane ni sehemu ya matumizi ya dola. Jambo ambalo linachafua taswira nzuri ya UISLAM. BAKWATA wenyewe hawaelewi wanataka HAKI, AMANI au WALI.
UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4, na 7:103-105). UISLAM ni DINI nzuri.
UISLAM siyo dini ya wahuni. BAKWATA ndiyo wanaichoresha na kuifanya ionekane ni sehemu ya matumizi ya dola. Jambo ambalo linachafua taswira nzuri ya UISLAM. BAKWATA wenyewe hawaelewi wanataka HAKI, AMANI au WALI.