Bakwata wanataka Haki na Amani au Wali?

Bakwata wanataka Haki na Amani au Wali?

BAKWATA ni miongoni mwa taasisi huru zinazofanya kazi nzuri sana nchini.
hayumbishwi na porojo wala mihemko ya mamluki wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi waliojificha kwenye uisilamu nchini.
Sio Chombo cha Waislamu Wote: Mahakama ilibainisha kuwa BAKWATA siyo chombo pekee kinachowakilisha Waislamu wote nchini.
 
Niwapongeze kobaz wenzangu hii Eid kwa kutopokea simu au kuzima kabisa kuepuka maombi ya mialiko
 
Hiki chombo ni project ya serikali.. Sheikh Ponda anakijua vema sana
Ndio mbinu za serikali ya ccm kukamata taasisi za kidini kijanja kwa manufaa yao Ili wabaki madarakani. Ila Kwa TEC wamevutiwa handbrake. Kwa KKKT Malasusa ndio anatumika vibaya naye akanasa. Utahubirije amani bila haki? Na Malasusa ni ngumu sana kwake kutamka neno haki Kila anapoalikwa kwenye shughuli za kiserikali. Tukija kwa Mwamposa ndio majanga kabisa.
 
Bakwata si ni chombo Cha CHADEMA:
mnashangaa nini sasa:
ni tawi halisi la CHAUMA na CAFU yaani UVI-ACT Wazalendo:
 
Na MMM

UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4, na 7:103-105). UISLAM ni DINI nzuri.

UISLAM siyo dini ya wahuni. BAKWATA ndiyo wanaichoresha na kuifanya ionekane ni sehemu ya matumizi ya dola. Jambo ambalo linachafua taswira nzuri ya UISLAM. BAKWATA wenyewe hawaelewi wanataka HAKI, AMANI au WALI.
Mimi BAKWATA naiona kama mzigo mzito kwa maendeleo ya waislam wa Tanzania. BAKWATA haina wala haina mpango wa kuwa na vyuo vikuu. Wanasahau jukumu wanaojijibesha la kuwatumikia waislam ni dhima kubwa kwa Allah
 
Sio Chombo cha Waislamu Wote: Mahakama ilibainisha kuwa BAKWATA siyo chombo pekee kinachowakilisha Waislamu wote nchini.
gentleman,
uko sahihi kwamba BAKWATA haihusiki na waisilamu wa mchongo wala mamaluki wa waisilamu vibaraka, ispokua waisilamu wa kweli ambao jana walishiriki sherehe za Eid wakiwa na mtukufu rais Dr.Samia Suluhu Hassan.

na kwahivyo,
BAKWATA ni chombo cha waisilamu kindakindaki na sio wababaishaji.
 
gentleman,
uko sahihi kwamba BAKWATA haihusiki na waisilamu wa mchongo wala mamaluki wa waisilamu vibaraka, ispokua waisilamu wa kweli ambao jana walishiriki sherehe za Eid wakiwa na mtukufu rais Dr.Samia Suluhu Hassan.

na kwahivyo,
BAKWATA ni chombo cha waisilamu kindakindaki na sio wababaishaji.
1774118557107.jpg
 
Na MMM

UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4, na 7:103-105). UISLAM ni DINI nzuri.

UISLAM siyo dini ya wahuni. BAKWATA ndiyo wanaichoresha na kuifanya ionekane ni sehemu ya matumizi ya dola. Jambo ambalo linachafua taswira nzuri ya UISLAM. BAKWATA wenyewe hawaelewi wanataka HAKI, AMANI au WALI.
Wali
 
Back
Top Bottom