BAKWATA ni taasisi ya Serikali?

BAKWATA ni taasisi ya Serikali?

Relax tuu hata JK kuna makanisa na Taasis kibao kazipa Fund sana
Tanzania banna...tatizo sio fund.....hiyo tasisi ni tasisi muhimu sana inatakiwa iwe huru! Zaidi ya teuzi za rais 75% zimeegemea upande wake unafikiri BAKWATA wanaweza tia neno? Kesho rais akijenga makanisa na kutoa kipaumbele kwa upande wake bakwata watatoa neno wakati wamepewa office?
 
Maswali muhimu;
1. Makonda anajenga kama muumini, mfadhili au mkuu wa mkoa?
2. Waislamu wanaweza kujenga wenyewe?
 
BAKWATA NI TAWI LA CCM KAMA ILIVYO POLISI AU RADIO UHURU TU
 
BAKWATA kipindupindu kukosa elimu dunia, unafik na njaa vitawafikisha pabaya jengen uchum wenu bila serikal bakul la serikal mnawaweka shimon waumin wenu hasa kizaz kijacho
 
Hakuna tatizo kuchangia ...tunaishi KWA Upendo wapo waislamu wanachangia kadi ZA makanisa NA wakiristo Miskiti lakini sio mtu mmoja ambaye mshahar wake Milioni 3 kusema ANAJENGA jengo la bilioni 5 ...wale wamasheria aliosema anawalipa mihsahara KWA Kiki wako wangapi...?
Jengo la 5 billion sio kweli Kiki hyo anatafuta Makonda
1471299635697.jpg
aache uongo
 
tafuta katiba ya bakwata weka mezani kisha chukua na katiba ya tanu ziweke pamoja zisome utagundua zinafanana
 
Unaielewa vizuri mahakama ya Kadhi? Unaijua tofauti ya mahakama ya Kadhi na BAKWATA?
Amani,
Mahakama ya Kadhi ilikuwapo toka nyakati za ukoloni.

Zilikuja kufungwa mwaka wa 1963 na serikali huru ya
Tanganyika.

BAKWATA ilianzishwa na serikali baada ya ''mgogoro''
wa EAMWS wa mwaka 1968.

Unaweza kuupata mkasa wote hapo chini:
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA KWANZA

Hizo ni series unaweza ukajifunza mengi...
 
Maswali muhimu;
1. Makonda anajenga kama muumini, mfadhili au mkuu wa mkoa?
2. Waislamu wanaweza kujenga wenyewe?
Waislam wanajengaje wenyewe wakati siyo chombo chao?hiyo ni jumuia ya CHAMA CHA MAPINDUZI,mbona UVCCM,UWT,TAPA na JUWATA zote zinajengwa na CCM?
Hata hivyo kama ni fedha za serikali basi wamekosea sana kwakuwa hicho ni chombo cha CHAMA.
 
Si hii nchi haina dini kabisa?

Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?

Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?

Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....

Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?

Hiko kitu ni nini hasa?

Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?

Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?

Nani muathirika wa haya yoote?
Binafsi ndio naelewa kwanini waislam wengi wanailaumu Bakwata kuwa ni Kisemeo cha CCM
 
Si hii nchi haina dini kabisa?

Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?

Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?

Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....

Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?

Hiko kitu ni nini hasa?

Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?

Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?

Nani muathirika wa haya yoote?
Hiyo bajeti ilipitishwa wapi na bunge lipi, no wonder tunataka kujenga airport Chato wakati Huduma za kijamii zimekwama, hadi wanafunzi wa field mnawakopa?? this is shame
 
Whatever the essence might be kwa hiki kitu alichofanya, Mkoa bado unakabiliwa na changamoto nyingi sana za msingi.

Kwanza ni upuuzi wa karne kuijengea Bakwata jengo la Billion 5 wakati Mkoa hauna dawa za kutosha kwenye hospital zake; WASH services bado ni hohehahe; Waste disposal & sewage systems bado Dar inanuka; barabara nyingi za mitaa ndani ya Dar bado vumbi/mashimo; n.k. Otherwise labda kama hiyo 'support' ameitoa mfukoni kwake on personal basis, ama from individual wahisani under his mobilization.

Africa tutaendelea kuwa bara lenye 'giza' kwa karne nyingi sana walahi.

-Kaveli-
Mkuu kinachofanyika hapo ni SIASA...Serikali inajitangulizia Moira...kwaajili yakurubuni Waislam...kwenye Chaguzi uzuri Waislam waliowengi wanaojitambua...hawaungi mkono hiyo Tawi ya cccm
 
Mkuu nikufafanulie tu,hiyo pesa haitoki serikalini,Makonda amehamasisha upatikanaji wa hiyo pesa,inatoka kwa akina Mengi hata TEC wamechangia na mufti kasema bi halali kupokea hela ya mchango wa asiekuwa mkristo akasema hata mtume Muhammad (SaW) aliwahi kupokea,
Hata kama nikweli hii ndio Kipaumbele kwa Mkuu wa MKOA? kama alikuwa na uwezo wakupata maPESA yakujenga Ofisi kwanini walikuwa wanasumbua watu kununua Madawati...vipi .kuhusu Vitabu mashuleni....Wenye akili tunajua hii inaitwa NAKUKUNA MGUUNI nami UNIKUNE KWENYE MIKONO...wajinga hawataelewa kilichofanyika...Sikiliza Bakwata watakavyokuwa wakali kutetea Watawala!
Mkuu nikufafanulie tu,hiyo pesa haitoki serikalini,Makonda amehamasisha upatikanaji wa hiyo pesa,inatoka kwa akina Mengi hata TEC wamechangia na mufti kasema bi halali kupokea hela ya mchango wa asiekuwa mkristo akasema hata mtume Muhammad (SaW) aliwahi kupokea,
 
Si hii nchi haina dini kabisa?

Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?

Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?

Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....

Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?

Hiko kitu ni nini hasa?

Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?

Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?

Nani muathirika wa haya yoote?
kwani hujuwi kama BAkwata ni taasisi ya Serikali ya CCM kwa ajili ya kuwadhibiti waislamu
 
Sikiliza we kiumbe, tatizo lako unaongozwa na elimu ya madrasa kuliko elimu ya kukukomboa kifikra. Matokeo yake unaanika ukilaza wako humu.

Udini wako unasababisha unatokwa povu jingi kukashifu na kukebehi dini za wengine bila sababu za msingi. Eti 'deen ya haki'!!! Hata mtoto wa darasa la saba akikusoma atashangaa ulivyo mtupu kichwani. Uwezo wako wa kufikiri bado ni mdogo sana.

Siku ukianza kujiona wewe ndani ya wengine ndipo utakapokuwa na fikra pevu.
Wewe ndo jinga kabisa..Nimekufuatilia muda mrefu nikidhani labda utajirekebisha kwa kuwa kujua mantiki ya uliyem-quote,
Kumbe ndo zero brain..

Bora ukae kimya...Jinga kabisa
 
Back
Top Bottom