Waislamu wanapunguzwa nguvu kidogo kwa lugha nyingine watakuwa wanapewa maagizo na serikali maana kama vile bunge, mahakama, na tahasisi zingine bado sasa wakristo sijui wataongwa niniSi hii nchi haina dini kabisa?
na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...
why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makaou makuu ya BAKWATA
mradi wa bilioni 5.....
Je haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini
ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Acha ajenge, after all most moselems huwa hawana uswahiba na hiyoSi hii nchi haina dini kabisa?
na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...
why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makaou makuu ya BAKWATA
mradi wa bilioni 5.....
Je haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini
ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Kwani kuna Taasisi isiyokuwa chini ya Serikali?We unaona haya majungu?
BAKWATA kuwa chini ya serikali kwako ni jambo zuri?
Nimegundua Mara nyingi kauli au ahadi anazotoa Makonda huwa hatoi kwa Bahati Mbaya.....
Ninaimani asilimia mia kauli Na maamuzi ya Makonda yanabaraka zote toka juu.
Nini kipo Chini ya kapeti?
Ni swala la muda tu.!
Patience,Nilipata kuskia kuwa Bakwata ilianzishwa na serikali, hebu aje Mohamed Said
Waislamu wanapunguzwa nguvu kidogo kwa lugha nyingine watakuwa wanapewa maagizo na serikali maana kama vile bunge, mahakama, na tahasisi zingine bado sasa wakristo sijui wataongwa nini
Huna hekima wewe.Si hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Imefikia wakati inaonekana Makonda ni wakupimia upepo kwa wananchi kuhusu maamuzi ya juu kabla wakubwa hawajayabariki. !Very very true....
Makonda anatekeleza tu order