Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Maswali uliyo uliza ni ya msingi. Naimani wanapita humu. Watupe majibu fasaha kwa maswali uliyouliza.
Kumbe wewe ndio maana hata kazi ya Umoderator ulifukuzwa hapa JF.Hizo taasisi zote ziko Chini ya Serikali, ndio maana CHADEMA walilalamika kwamba Bunge linaendeshwa toka IKULU. Hillo Kanisa katoliki limesajiliwa na Serikali na Serikali hiyo hiyo inaweza kulifutia usajili wake likienda kinyume na masharti ya usajili. hivyo hivyo kwa TFF. Hiyo BAKWATA nayo imesajiliwa na Serikali kwa masharti ya Serikali. Wewe endelea kufikiri kwamba kuna taasisi huru ambapo hakuna mkono wa Serikali!
Basi usilalamike kwamba BAKWATA iko chini ya Serikali!Wewe utadanganya wajinga tu sio mimi...
Hilo Kanisa liko chini ya Serikali, asikudanganye mtu!Kumbe wewe ndio maana hata kazi ya Umoderator ulifukuzwa hapa JF.
Unalijuwa kanisa katoliki wewe au unajifurahisha? Una uelewa wowote kuhusu Vaticano?
Waulize Illuminati watakueleza vizuri kanisa katoliki ni nini na ni kwa kanisa katoliki ni dola lenye ubalozi wake nchini Tanzania.
Rais wako au serikali yako ni sawa na sisimizi tu mbele ya Vaticano, hii mizaha ya kitoto watafanyiwa waislamu lakini si kanisa katoliki.
Ile mipesa ya wizi yote ya Escrow ilipitia account ya benki ya mkombozi inayomilikiwa na kanisa katoliki.
Kama wahusika wameridhia kinachowauma ni nini?Mkuu, BAKWATA ni tawi halali kabisa la CCM! Limehalalishwa na lenyewe likaridhia kwa moyo mkunjufu kabisa! Kwanza BAKWATA iliundwa kama taasisi na jumuiya ya CCM!
bakwata.cct na tec zote zliundwa maalum kwa ajili ya usalama wa nchi enzi za mwalimSi hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Baliba...BAKWATA ni kibaraka wa serkali na ccm baada ya kuuwa EAMW S ndo iliundwa miaka 1960,serikali ilishirikiana na akina Nassib wa Bukoba ili kuvunja nguvu ya Aghakan aliyekuwa mlezi wa jumuiya ya kiislamu kama ilivyotajwa hapo juu.Hii ndiyo sababu Bakwata haikubaliki kwa waislamu wengi wasomi.
Wewe ndio mbumbumbu punguwani wahed, kwa akili zako za kutawaliwa akili na dini za wazungu au waarabu kamwe huwezi kuelewa nilichoandika hata urudie kunisoma mara 200.We mdini ni mbumbumbu na mweupe kichwani kwa kutumia maneno haya:
'makafiri'
'deen ya haki'
'wapagani'
Hivi kwanini unakuwa kichwa panzi kufikiri dini yako ni bora kuliko dini za wengine? Elimu yako haijakukomboa, bado unaendeshwa na mashehe wasio na shule vichwani?
Hakuna Mungu mbaguzi anaewachukia wakristo. Unaitaje majina ya ajabu watu wanaosali tofauti na wewe? Una elimu gani?
Mwisho, usiote kuwa kuna siku Tanzania itakuwa na mahakama ya kadhi kukidhi haja ya kundi la watu wachache. Ukikumbuka, lilishashindikana kwa Rais mdini aliyepita.
Wewe nimeshakueleza muda mrefu upeo wako ni mdogo sana.Hilo Kanisa liko chini ya Serikali, asikudanganye mtu!
Sikiliza we kiumbe, tatizo lako unaongozwa na elimu ya madrasa kuliko elimu ya kukukomboa kifikra. Matokeo yake unaanika ukilaza wako humu.Wewe ndio mbumbumbu punguwani wahed, kwa akili zako za kutawaliwa akili na dini za wazungu au waarabu kamwe huwezi kuelewa nilichoandika hata urudie kunisoma mara 200.
Sijajuwa tu dini ya makafir na dini ya magaidi ipi bora maana wote akili zenu mmeshikiwa na wazungu na waarabu ndio mnawehuka utadhani na wewe kwenye makabila 12 ya Israel kabila lako limo!