bakwata ni kataasisi kakulibeba lichama nyonyaji.Hapana Mkuu ,kodi za Nchi hii zinatozwa pia na kwa wasio na imani hizo za Dini.Lazima tuhoji tena kwa nguvu kabisa.Usiwe mtumwa wa fikra..
bakwata ni kataasisi kakulibeba lichama nyonyaji.Hapana Mkuu ,kodi za Nchi hii zinatozwa pia na kwa wasio na imani hizo za Dini.Lazima tuhoji tena kwa nguvu kabisa.Usiwe mtumwa wa fikra..
Mkuu nikufafanulie tu,hiyo pesa haitoki serikalini,Makonda amehamasisha upatikanaji wa hiyo pesa,inatoka kwa akina Mengi hata TEC wamechangia na mufti kasema bi halali kupokea hela ya mchango wa asiekuwa mkristo akasema hata mtume Muhammad (SaW) aliwahi kupokea,
Akifanya hivyo nitamwona bonge la popompo, kwa nini asije humu humu jf ajibu au atoe ufafanuzi aeleweke? Kwa nini aende huko na siyo tbccm lao?namsubiri kesho lazima ataenda clouds tv kukanusha au kuwashambulia wanaompinga kwa hili
Tena kafirHao waislamu hawana hela hadi wajengewe makao makuu na mkuu wa mkoa?
Sidhan kama waislam wameshindwa ku organize na kupata hizo pesa na kumsubir kafir afanye kwa ajil yaoAtahamasisha wafadhili lkn hatoi mfukoni kwake au kwa serikali
Si hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Waisilamu huwa wananishangaza sana. Kuna wakati walikuwa wanataka serikali kuwaanzishia mahakama ya kadhi, lakini wanapinga serikali kuwaanzishia BAKWATA
Nashukuru moto wa mahakama ya kadhi umepoa, na kwa kubana matumizi kwa JPM, itabidi wasubiri atakapokuwa hayupo madarakani!
HUYO MAKONDA KATOAA WAPI BILIONI 5 ZA kujenga makaoo makuu ya bakwata ...si aseme TU ni "jamaa" YAKE HOME SHOPPING NDIO ANAJENGA
Waislamu karibu milioni 20 nchi HII kujengewa makaoo makuu NA home shopping KWA Mgongo wa MAKONDA ? Hata KILA muislamuakatoa shilingi 250 TU mnapata ...KWA maana ya KILA families watoe hiyo Pesa KWA wanafamilia ..Ili NA watoto watoe....
Sio vema kujitia unyonge ...Wakati majumba ya bilioni 5 hadi kumi yanajenga NA waumini wa parokia Au usharika mmoja Wenye waumini 10,000 TU KWA michango tena BILA kushirikisha matajiri
Si hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
.....hapo dar ukienda temeke na mwananyamala hospital kina mama wanalala chini....huyo makonda anashindwa kuwasaidia...hapo dar huyu huyu makonda anaomba wadau wachangie madawati.....leo anapata wapi bil.5 za kuwajengea bakwata??.....taasisi za dini kila leo wana mikakati ya kusaidiana kujenga taasisi zao..na hili wala si shida....sasa hizi siasa kuingia kwenye taasisi ya dini inakuwaje??pesa wanachimba wapi??...hizi comedy tz haziishi..
.....hapo dar ukienda temeke na mwananyamala hospital kina mama wanalala chini....huyo makonda anashindwa kuwasaidia...hapo dar huyu huyu makonda anaomba wadau wachangie madawati.....leo anapata wapi bil.5 za kuwajengea bakwata??.....taasisi za dini kila leo wana mikakati ya kusaidiana kujenga taasisi zao..na hili wala si shida....sasa hizi siasa kuingia kwenye taasisi ya dini inakuwaje??pesa wanachimba wapi??...hizi comedy tz haziishi..