structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,230
- 909
We mdini ni mbumbumbu na mweupe kichwani kwa kutumia maneno haya:
'makafiri'
'deen ya haki'
'wapagani'
Hivi kwanini unakuwa kichwa panzi kufikiri dini yako ni bora kuliko dini za wengine? Elimu yako haijakukomboa, bado unaendeshwa na mashehe wasio na shule vichwani?
Hakuna Mungu mbaguzi anaewachukia wakristo. Unaitaje majina ya ajabu watu wanaosali tofauti na wewe? Una elimu gani?
Mwisho, usiote kuwa kuna siku Tanzania itakuwa na mahakama ya kadhi kukidhi haja ya kundi la watu wachache. Ukikumbuka, lilishashindikana kwa Rais mdini aliyepita.
Kwa namna ulivomalizia na wewe ni mdini namba moja, eti raisi "mdini", kweli???