BAKWATA ni taasisi ya Serikali?

BAKWATA ni taasisi ya Serikali?

We mdini ni mbumbumbu na mweupe kichwani kwa kutumia maneno haya:

'makafiri'
'deen ya haki'
'wapagani'

Hivi kwanini unakuwa kichwa panzi kufikiri dini yako ni bora kuliko dini za wengine? Elimu yako haijakukomboa, bado unaendeshwa na mashehe wasio na shule vichwani?

Hakuna Mungu mbaguzi anaewachukia wakristo. Unaitaje majina ya ajabu watu wanaosali tofauti na wewe? Una elimu gani?

Mwisho, usiote kuwa kuna siku Tanzania itakuwa na mahakama ya kadhi kukidhi haja ya kundi la watu wachache. Ukikumbuka, lilishashindikana kwa Rais mdini aliyepita.

Kwa namna ulivomalizia na wewe ni mdini namba moja, eti raisi "mdini", kweli???
 
Kama ni Makonda tumsamehe bure na haina mashiko, atakuwa amesema tu wala msilifikirie;
  1. walimu kupanda mabasi bure (kiko wapi?)
  2. Ukaguzi wa nyumba kwa nyuma (kiko wapi?)
  3. kurudisha maeneo ya wazi yote (kiko wapi?)
 
BAKWATA ni kibaraka wa serkali na ccm baada ya kuuwa EAMW S ndo iliundwa miaka 1960,serikali ilishirikiana na akina Nassib wa Bukoba ili kuvunja nguvu ya Aghakan aliyekuwa mlezi wa jumuiya ya kiislamu kama ilivyotajwa hapo juu.Hii ndiyo sababu Bakwata haikubaliki kwa waislamu wengi wasomi.
ujuwe aghakhan alikuwa anakuja kasi mno,mashule,mahospitali,media etc,wakaamua kumkata makali na kuwaanzishia BAKWATA
 
Si hii nchi haina dini kabisa?

Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?

Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?

Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....

Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?

Hiko kitu ni nini hasa?

Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?

Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?

Nani muathirika wa haya yoote?
Pia ujiulize ilikuwaje Lowassa akawatumia sana viongozi wa dini na majumba yao ya ibaada kujijenga kisiasa kuelekea uchaguzi wa 2015.
 
Ni swala la wakati tu na kilicho uvunguni kitaibuka....hapa kazi tu.
 
Wenyewe wameridhika!! Na hiyo ingekuwa wamepewa upande wa pili kusingekalika humu
 
Sinema limeanza!
Barabara zote za Jiji hazipitiki,
Stendi ya Makumbusho na njia za kuingilia pale siyo,
Nchi hii....
 
hii ni namna ya kuipoza BAKWATA wasiongee chochote kuhusu serikali




Si hii nchi haina dini kabisa?

Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?

Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?

Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....

Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?

Hiko kitu ni nini hasa?

Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?

Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?

Nani muathirika wa haya yoote?
 
BAKWATA ni taasisi ya serikali/ccm na hyo kwa wanaofatlia mambo wanalijua hlo
 
Si hii nchi haina dini kabisa?

Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?

Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?

Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....

Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?

Hiko kitu ni nini hasa?

Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?

Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?

Nani muathirika wa haya yoote?

Kama ulikuwa hujui mkuu The Boss BAKWATA ni taasisi ya serikali iliyoundwa na Nyerere baada ya kuivunja East African Moslem Welfare Society iliyoukuwa jumuiya madhubuti kwa maendeleo ya Waislam. Kwahiyo, si ajabu kuona serikali ikiisaidia BAKWATA. Kwa ufupi BAKWATA haina faida yoyote kwa Waislam zaidi ya kuandaa sherehe za Maulid, kutangaza mwezi na kuandaa baraza la Idd. Zaidi ni kwamba BAKWATA ndiyo fisadi mkubwa wa mali za Waislam.
 
Kama ulikuwa hujui mkuu The Boss BAKWATA ni taasisi ya serikali iliyoundwa na Nyerere baada ya kuivunja East African Moslem Welfare Society iliyoukuwa jumuiya madhubuti kwa maendeleo ya Waislam. Kwahiyo, si ajabu kuona serikali ikiisaidia BAKWATA. Kwa ufupi BAKWATA haina faida yoyote kwa Waislam zaidi ya kuandaa sherehe za Maulid, kutangaza mwezi na kuandaa baraza la Idd. Zaidi ni kwamba BAKWATA ndiyo fisadi mkubwa wa mali za Waislam.
Issue ni kuwa izo pesa zipo kwenye budget yetu ya 2016/2017?
 
we ambaye hapa pangekuwa mwanzo non bado hata hujafikia. kwa hiyo kwa wewe mimi hapa ndo mwisho ila ukinza kufikiri wewe i nita move forward.

Kiongozi hapa ndio mwisho wako wakufikiri?
 
Hapa duniani hakuna kitu cha muhimu kama Muda -Time

Muda ndio unatoa majibu ya kila kitu na muda ndio una solve matatizo.

Leo hii muda umetujibu yale Mambo ambayo waislam wengi akiwemo Mzee wangu Mohammed Said kuhusu uhusiano, hila na dhana nzima ya Serikali ya CCM kuua EAMWS na kuanzisha BAKWATA.

Hii ni similar doctrine wanayotumia US kui control Saudi Arabia.

Je waIslam hawana huwezo wa kujenga hiyo office ya 5bil?

Je Serikali ilishamaliza kuwajengea hao BAKWATA, Pia itaenda kuwajengea KKKT, Pentecostal Churches, RC, Wasabato... etc.

Asante sana Mzee wangu Mohammed Said. With time... kila kitu Kitapata jibu.
system ya nchi hii inafahamu Kuwa, katika makundi ya Kijamii ambayo yanauwezo wa kusimama na kufight dhulma bila woga ni jamii ya Waislamu. Wanajua vizuri harakati za Maji aji na Vita za Mkwawa ambazo ziliongozwa kwa Spirit ya kukataa kuonewa (fahamuni kwamba Mkwawa na Wapiganaji wengi wa kusini walikuwa waislamu).
Plus harakati za Kupigania Uhuru na ule Ujasiri wa Waislamu kuichallenge Dola, mfano Ghasia za Mwembechai n.k

Sasa hii Spirit ya kukataa kuonewa iliyomo katika mafunzo ya Uislamu watawala wanaijua vizuri, ndiyo maana wanatumia Strategy ya Divide and Rule, Strategy ya kuwanunua watu influential na ikibidi kuwaisolate na kuwafunga viongozi "wabishi" wanaokataa kufuata script!

Lakini kitu kingine ni kwamba hizi favours zinalenga kuwafanya viongozi waache kukemea au kuanzisha madai ya kuwakerakera watawala kama vile " mahakama ya kadhi", " teuzi zinazolalamikiwa na Waislamu kuwa miongoni mwazo zimekaa kidinidini", etc

BWM alipoona joto la Waislamu limezidi, ili kulituliza akawapa majengo ya Tanesco Moro.
Mwingine akaona awape mshiko kwenye briefcase! Mapemaaa kabla fukuto la miguno halijawa kubwa!

Na sasa naona wanajengewa Jengo!


Hapa ndiyo kuna kila kitu kuhusu undani wa BAKWATA.
 
Teuzi zilizolalamikiwa kukaa kidinidini lilikuwa ni bomu lililokuwa linasubiri kupasuka.
Wameona waliwahi juu kwa juu!
Hii ni kama mitigation measure!
Au kwa lugha nyingine , ni damage control

Baada ya "mfumo" kusukwa ukasukika, sasa nyinyi mnapewa jengo kupozwapozwa
 
Wenyewe wameridhika!! Na hiyo ingekuwa wamepewa upande wa pili kusingekalika humu
Hawajaridhika, huo upande wa pili unapendelewa mara ngapi? Unataka waanzd fujo mseme waislamu ni watu wa fujo? Umeona ponda alichofanywa?
 
BAKWATA ni kichaka cha CCM ambacho ni ngumu sana kujulikana
 
Back
Top Bottom