Mnaoanza majungu nina mashaka na thinking capacity yetu.
Mzee wangu Mohammed SaidPatience,
Hii tumeshajadili kwa kirefu sana siku za nyuma.
Ninachoweza kufanya kwa sasa ni kukuwekea hapa jamvini links ili
ujisomee kwa wakati wako nyingine nimefanya muhadhara na nyingine nimeandika.
]
Hizi ni series kwa hiyo pitia moja baada ya nyingine kwa mpangilio hapo chini baadhi
nimekuwekea bila kufuata mpangilio:
Mohamed Said: Historia ya Bakwata - Mtambani -Part 1
Mohamed Said: Historia ya Bakwata - Mtambani Part 2
Mohamed Said: Historia ya Bakwata Mtambani Part 3
Mohamed Said: Historia ya Bakwata Mtambani Part 4
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA KWANZA
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA TANO
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA SITA
Zinaendelea unaweza ku-search;
www.mohammedsaid.com
Lengo la serikali ni kuhakikisha madai ya waislamu yanaletwa na watu makiniSi hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Asante kiongozi, hapa tunapata tafsiri ya hilo gorofa na vile 'vitita'Patience,
Hii tumeshajadili kwa kirefu sana siku za nyuma.
Ninachoweza kufanya kwa sasa ni kukuwekea hapa jamvini ''links'' ili wewe
ujisomee kwa wakati wako.
Nyingine nimefanya muhadhara na nyingine nimeandika.
Hizi ni ''series,'' kwa hiyo pitia moja baada ya nyingine kwa mpangilio hapo
chini baadhi
nimekuwekea bila kufuata mpangilio:
Mohamed Said: Historia ya Bakwata - Mtambani -Part 1
Mohamed Said: Historia ya Bakwata - Mtambani Part 2
Mohamed Said: Historia ya Bakwata Mtambani Part 3
Mohamed Said: Historia ya Bakwata Mtambani Part 4
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA KWANZA
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA TANO
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA SITA
Zinaendelea unaweza ku-search;
www.mohammedsaid.com
Si hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
IndeedSisi tunataka MAHAKAMA UA KADHI. Ghorofa hatutakiiiiiiiiiiiiii
BAKWATA ni tawi la CCM.Si hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Mkuu nikufafanulie tu,hiyo pesa haitoki serikalini,Makonda amehamasisha upatikanaji wa hiyo pesa,inatoka kwa akina Mengi hata TEC wamechangia na mufti kasema bi halali kupokea hela ya mchango wa asiekuwa mkristo akasema hata mtume Muhammad (SaW) aliwahi kupokea,We unaona haya majungu?
BAKWATA kuwa chini ya serikali kwako ni jambo zuri?