George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
Mkuu Fundi Mchundo Extemist ndani waislamu sikubaliani nao kama walivyo extremist walioko katika ukristo. Anything that is extreme is harmful ndio maana katika statistics kuna kitu kinaitwa outlier kinaweza kuharibu kila kitu ndio maana watafiti wanakijaribu kukicontain au ikishindikana kukiondoa. Lakini kaa ukijua sometimes hata mwendawazimu anakuwa anasema jambo la msingi ambalo mimi na wewe tunaweza tusilione. Hebu tizama mtiririko huu:-
a. 4th January, 1998 President Mkapa anachimba mkwala kuhusu mihadhara ya dini yenye kuleta mifarakano.
b. 8th February, 1998 Padri Lwambano anaituma serikali iwashughulikie wanaoleta mihadhara ya uchochezi na mengineyo kwa ufupi waislamu.
c. 13th February, 1998 wanatandikwa waislamu pale mwembechai na kuuwawa.
Je nikuulize does it need a nuclear scientist to know what is going on here? Pia kumbuka rais aliyeko madarakani ni muumini mzuri Kanisa la St. Peters pale Msasani (karibu na ofisi za usalama). Sasa Fundi mchundo twende turudi kuna kitu kimekosekana hapa kabla hatujawaita jamaa extremists. Pia kaa ukijua kuwa Mkapa hakuwashauri waislamu kuhusu hili jambo je nikuulize alikuwa sahihi? Tatu Padri Lwambano ni padri wa kanisa gani na je lile tamko alilitoa kama nani? Kwanini asiende kutamka mimi Camillius Lwambano nasema hivi atumie title yake ya upadri? Naomba unijibu mkuu
Sikujua kuwa hujui kuwa polisi hawana mamlaka ya kuzuia mikutano wala maandamanoya viumbe wowote achilia mbali ya vyama vya siasa kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi hii ambazo zimetungwa kwa matakwa ya CCM. Nchi haiendeshwi kwa amri tena amri haramu, tuambieni polisi walpata wapi mamlaka ya kuzuia maandamano au mnashbikia wauaji kwa vile walouawa si wa chama chako? Kumbuka risasi hazikuchagua dini
Wakiristo watanzania, msijidanganye kabisa na kujifanya kwamba eti ni nyinyi ni "European outpost in Africa". Maendeleo ya uzungu siyo maendeleo ya ukiristo, ingawa mpo wengi sana humu ambao mnajitoa akili kwa makusudi na kusherehekea mafanikio ya wazungu "in the name of jesus", na kujifanya kama vile nyinyi ni sehemu ya "white establishment". Nasikitika sana kama mifumo ya kielimu ndiyo inayowafanya muwe hivyo.
SALAAM ALAEIKUM.Ndugu zangu waislamu wakati mwingine tusishabikie maswala kama ligi ya mpira. Inabidi tuwe analytical. Hivi tumesahau pale Askofu Polikapi Pengo alipomwambia Mkapa kuwa CCM ni kichaka cha majambaz???!!! Wakati Mkapa naye ni Mkristo!!Sasa hapo kulikuwa na udini gani hapo. Hivi kupanda kwa bei ya umeme na hali mbaya tunayoipata sasa hivi inawaathiri wakristo peke yao?? Hela ambazo serikali inataka kuipa DOWANS, hujui itawafaidia akina LOWASA,ROSTAM NA CHENGE?? Sasa hao mapapa watatu na wengine wanyonyaji wanadini hao?
Kama tusiposhikamana pmoja hawa mafisadi wataendelea kutugawa kusudi watunyonye na tubaki na chuki za kidini.
Mafisadi hawana dini,
Waislamu wana dini wengine hawana dini? Nieleze kitendo kimoja tu ambacho Kikwete amekifanya na wasio na dini ya Kiislamu hawajafanya. Nitajie Kitendo kimoja tu ambacho Makamba amekifanya lakini hakijafanywa na kiongozi mwengine hapa Tanzania, mwenye dini tofauti na ya Makamba. Nakupa Challenge hiyo na nasubiri jawabu.Yote tisa lakini kumi kwa mtizamo wangu ni Jk kumteua Makamba kuwa katibu wa chama tawala ambapo wote wawili kwa pamoja wameuleta mwanzo wa mwisho wa utaifa wetu kwa kausisi cheap politics za kidini.
Nawahakikishieni kama makamba ataendelea na mamlaka aliyo nayo kwa miaka 3 zaidi vita vya kidini vitakuwa vimeiva.
Believe me or not!!
.
Waislamu watanzania, msijidanganye kabisa na kujifanya kwamba eti ni nyinyi ni "Arabian outpost in Africa". Maendeleo ya waarabu na makabacholi siyo maendeleo ya uislamu, ingawa mpo wachache sana humu ambao mnajitoa akili kwa makusudi na kusherehekea mafanikio ya waarabu "MOHAMMED S.A.W", na kujifanya kama vile nyinyi ni sehemu ya "Central East establishment of Saudia". Nasikitika sana kama mifumo ya madrasa ndiyo inayowafanya muwe hivyo...
Eti umesema kuwa hao Mashehe hawana elimu na kipato chao ni duni ndio kiwafanye wasiseme kitu? Hawa wasiosoma ndio waliokuwamstari wa mbele kuleta uhuru wa Tanzania.Waulizwe hao masheikh wana elimu na kipato gani? Utakuta hata waumini wao tu wanawakataa huko misikitini. Tatizo ni elimu, kipato na utashi wa kuona mbele... Sheikh wa kweli wapo na wamekaa kimya maana wanajua kinachotokea. Hutamsikia sheikh kama Issa bin Shaaban Simba akizungumza upumbavu kama huu. Senti za kupewa na kuandikiwa matamko zinawaponza masheikh njaa hao!
nimekwisha sema awali ccm wakiumbuliwa wanakimbilia kwenye udini, huo ndo mchezo wao na engineer wa karata ya udini ili kuwagawa watanzania ni jk, na historia itamhukumu kwa kudiriki ku play udini card ili kupata political support kwa waumini wa dini flani, hii itawa cost ccm and it is a very bad strategy
Geza Ulole, its rather daft to somehow compare a social group with a religion. Christianity is a social group whereby islam is a religion. Thats why laws can be changed/amended in christianity and not in islam. Christianity has one supreme leader, "the pope" if you are catholic, or Elizabeth queen of England if you are Anglican, and so....; whereby in muslims do not have a living human figure head for eveery muslim on planet. In christianity, power and authority are centralised, Vatican if you are catholic, or buckingham palace if you are Anglican. In Islam, power and authority are decentralised and every community have their own leadership. In short, the sheikh of mecca is only for mecca and he is not superior to sheikh of moldova or paraguay. I have hibernian background and studied christianity at depth, and believe me, when I decided to study other faiths, judaism, islam, budhism, etc; I was confounded by the *** which I was taught as a christian child. Learn about other faiths and you don't have to follow them. That will give you a little bit of respect of others.
what about Malaysia?
Do you think your views build a national solidarity?
Religion is a very sensitive issue. Tuwe makini.
Mimi huwa napenda kusoma hoja zako kwa sababu zinanisaidia kujua vichaa wana mawazo gani...Ila leo nimegundua kuwa ukichaa wako ni mkubwa kuliko nilivyodhani mwanzo au labda ni bangi umezidisha.
kuna vitu vinaitwa MALENGO na MKAKATI_lengo la wanaharakati wote kwasasa nikuona kunakuwa na Mabadiliko ya Kiutawala_mambo mengine yote ni Mikakati_hali kadhalika tuandikapo Posts huwa ni Mikakati kwa ajili ya mambo fulan tunayoyalenga_ni vema kufikiri sana kabla hujafanya jambo_kwa post hii nadhan umetuma wakati ukijisaidia choon_haimsaidii yeyote hata familia yako hainufaiki kwa post hii_otherwise mnatukatisha tamaa waislam tuliomo chadema kwamba inawezekana chadema ni ukiristo na sisi tunawasindikiza kwenye move zenu_kwann harakat za kisiasa zizungumzie iman wakat wanaharakat ni wenye iman tofaut na tunaunganishwa na MALENGO? Hii inanitia shaka na kunifanya niamin kuwa inawezekana mh. Zitto yupo sahih kuwa kuna udin ndan ya cdm_nimekuwa kwa muda mrefu nikikemea mambo haya na kuwaomba mods kupinga vitu_lakin posts zinazofutwa ni zile zinazokemea mambo haya ndizo hufutwa