Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
I see HOE tatizo ni foleni
Sa wote mkikimbia foleni njia kuu si zitakuwa hazina foleni tena
I see HOE tatizo ni foleni
Watu hawajui utamu wa kabang... wanahangaika na kazi ni kwako..
Watu hawajui utamu wa kabang... wanahangaika na kazi ni kwako..
Loh.............. kweli kazi bado ipo. Babu wanamaanisha kuwa mpende bibi peke yake, lile tendo la ndoa ulifanye na bibi peke yake. Hayo ya 0713 hawajasema labda tukawaulize hawa PSI watujibu.
vichochoro madhara mengi bota kubaki njia kuu tu
Min Kabang haiongopi mpwa twanga kotekote.
Sa wote mkikimbia foleni njia kuu si zitakuwa hazina foleni tena
Sasa unakuja kwenye point ndo maana twapita vichochoroni tuwahi kufika.
hahaaaa
hiyo Min kabang kifurushi chaweza kukatika katikati ya maongezi
ewaa nadhani hajui njia kuu ni ndefu na mzunguko huwa mkubwa.
Daaaaaaaaaahhh,
Kumbe kustaafu ni raha sana....eeeehh??
Vichochoro vinafupisha safari. njia kuu ndefu sana, na mafuta bei ghali.
Uchochoro unasaidia kufupisha safari. njia nyingine ndefu sana, unazunguka mpk unachoka. Mafuta hayachelewi kuishia njiani.
Ewaa. Uzuri wa 0713 unaweka kabaang afu unatwanga mitandao yote. Kama vipi unatumia mini kabaang.
Kambare bila tope hakuna uhai.
Hah tatizo wewe una akili sana nawezajitia kukujibu kumbe nikateleza. Ngoja niishie tu kukutizama lakini kumbuka Baki njia kuu, kuchepuka sio dili
Bora gharama za mafuta kuliko za kulipa fine ukikamatwa na ma trafiki
Sasa unakuja kwenye point ndo maana twapita vichochoroni tuwahi kufika.
yap! Basi fanya fasta pale Hilton guest house chumba namba10 umenitamanisha kweli.