Baki njia kuu, epuka Michepuko!

Baki njia kuu, epuka Michepuko!

Acha kusevu majina ya mahawaraka kama mafundi ndani ya simu yako!!! Ninafurahi pia kuwa Kibonde ametumika katika tangazo hili!!!! Anasisitiza usichepuke, baki njia kuu!!! Hujafa hujaumbiko, Majuto ni mjukuu, bora ukubali yaishe!!! Kukubali hali na kujikubali, utaishi kwa afya njema hata kama nywele zitakuwa zimeshaanza kupukutika na tukaokolewa na madaktari wale kwa kutumia fursa za kazi zetu uliwananga wakati wa mgomo!!! Omba msamaha live.

khe Kibonde huyo........hahahaaaaaaaaa
 
Acha kusevu majina ya mahawaraka kama mafundi ndani ya simu yako!!! Ninafurahi pia kuwa Kibonde ametumika katika tangazo hili!!!! Anasisitiza usichepuke, baki njia kuu!!! Hujafa hujaumbiko, Majuto ni
mjukuu, bora ukubali yaishe!!! Kukubali hali na kujikubali, utaishi kwa afya njema hata kama
nywele zitakuwa zimeshaanza kupukutika na tukaokolewa na madaktari wale kwa kutumia fursa za kazi zetu uliwananga wakati wa mgomo!!! Omba msamaha live.

Nilisikiaga hiyo habari ya nywele zake kupukutika nikajua ni story...kumbe ni kweli! Duh!!!
 
Naona kama kelele za chura...
Vyumba vya wageni vinajaa like never before... Mitingozo ya online, simu, kwa kimboka ndo usiseme...

Kizazi hiki ni sikio la la kufa..
 
1396649771350.jpg 1396649771350.jpg
 
Mwanaume ukiishakuwa hujatulia kwenye njia kuu ni must uhakikishe kuwa ram yako ni zaidi ya GB 16 na processor izidi GB 2 na hard disc irrange kwenye terrebyte ili kuweza kumhandle wife just in case na hakikisha pia mwanamke wako ram yake ni less than 1 GB na processor yake iwe ndogo pia!
 
digital love... hapo unaweza kuta jamaa yuko na mtoto wa shangazi yake tu wanapiga soga
 
Back
Top Bottom