Baki njia kuu, epuka Michepuko!

Baki njia kuu, epuka Michepuko!

Hand set moja na sim card moja...
Ukibadili handset usibadili line......

........................ Najitahidi kwa nguvu kweli kuielewa hii post, akili inakataa kuwa nakosea! Haya ilmradi umebaki njia kuu Babu si ndio? lol
 
Ila sasa toka nimeanza kusikiliza haya matangazo ya redioni ya Baki njia kuu mbona ni matuko ya kunaswa wanawake tu?, wao ndio wanaotumia vichochoro zaidi au?

Mwanamke ndiye mwamuzi wa mwisho akubali au akatae.
 
ruttashobolwa hii imetokana na kuwa watu hawana hofu ya mungu huku wengine wakiamini hakuna mungu.

alaf kibaya zaidi lengo la huu ujumbe halijafanikiwa kabisa maana ni watu wachache wana uelewa labda mpaka walione tangazo!

Kwa sababu watu hawana hofu na fikiri njia rahisi ni kuwambia waende salama sababu kuwambia wabaki njia kuu ni ngumu sana.

Campaign ya kuhakisha watu wana baki na mtu mmoja hilisha shindikana.

Campaign iliyo pata mafanikio ni ya kuwashauri watu kutembea sala hata kama wanatoka njia kuu!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kitu kinachokera kwenye njia kuu kama ule ukarabati wa kila mwezi, njia inafungwa siku tatu au zaidi. Kero kwa watumiaji

Kwa mantiki hii mpango wa kando (plan B) ni muhimu sana.
 
Hii sentensi tata,nimepata maana zaidi ya mbili sielewi maana kamili ni ipi,nisaidieni tafadhali.
 
Hii kitu itakuwa ngumu kwani nani anataka akae kwenye foleni. Watu wanawekwa kwenye foleni yaani mwezi kwa mwezi sasa si bora uchapuke fasta
 
Ukiona njia kuu speed kali mno ajali inaweza tokea unaruhusiwa kupaki njia ndogo.
 
alaf kibaya zaidi lengo la huu ujumbe halijafanikiwa kabisa maana ni watu wachache wana uelewa labda mpaka walione tangazo!

Kwa sababu watu hawana hofu na fikiri njia rahisi ni kuwambia waende salama sababu kuwambia wabaki njia kuu ni ngumu sana.

Campaign ya kuhakisha watu wana baki na mtu mmoja hilisha shindikana.

Campaign iliyo pata mafanikio ni ya kuwashauri watu kutembea sala hata kama wanatoka njia kuu!

............Nakubali kuwa haujitoshelezi kwa kuwa wengine pia huko njia kuu magari yao hayaruhusiwi kupita kwa kuwa pengine yana hitilafu so wanaogopa trafiki. Wengine wana miaka hawaruhusiwi hata kuegesha magari njia kuu............... bado mwaambiwa mbaki njia kuu.........................
 
Hii sentensi tata,nimepata maana zaidi ya mbili sielewi maana kamili ni ipi,nisaidieni tafadhali.

Zote mbili zinafaa kuwa maana isipokuwa hiyo inayokutatiza ndio maana halisi
 
Back
Top Bottom