Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,960
Na njia kuu ndo kuna misumari ya kutegeshewa kwenye mifuko ya nailoni na vipande vya mbaoMkumbuke huko kwenye vichochoro ndo kuna misumari na miba mikubwa mtatoboa tairi zenu hata mkija kwenye njia kuu mnatembelea viraka.