Bakhresa tajiri asiyependa camera

Bakhresa tajiri asiyependa camera

Umenifungua sana akili
Anakudanganga huyo. Utajiri wa watu wa Asia hapa Tanzania ulianza tangia enzi za Muingereza hata kabla ya Uhuru huu wa mchongo.

Wazungu waliwapa fursa kubwa ya mikopo wahindi kwa maana waliwafanya kuwa second class baada ya wao na mtu mweusi kuwa third class.
 
Mh! mbona mara kadhaa ameshaonekana na anafahamika sasahivi vizuri tu!, katika kipindi alichokuwa anaonekana sana ni kipindi cha magufuli sasahivi mh! si sana..
wakati wa uzinduzi wa hotel yake verde kule Zanzibar akiwa na magufuli, pia kuna kipindi alihojiwa azam tv.
Alionekana wafanyakazi wake Azam media walipofariki kwenye ajali na alipokuwa anakabidhiwa eneo la kilimo cha miwa Bagamoyo, wengi kabla ya hapo tulikuwa hatumfahamu
 
Mambo ya kupigwa pigwa picha hayajengi. Mullah Mohamed Omar Kiongozi na muasisi wa Taleban ya Afghanistan hakupenda na alipiga marufuku kupigwa picha. Picha zake zilizoko ni za kuibia na akiwa mbali sana. Na alikuwa hatumii simu hasa hizi mobile phones. Hivyo aliweza kuwakwepa Wamarekan mpaka akafa kwa natural death 2013. Ili chukua miaka miwili dunia kujua Mullah Omar Alisha kufa.
 
Back
Top Bottom