Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,967
- 104,188
Ww n nani hapa Tanzania?Hata mimi sipendi camera
Ww n nani hapa Tanzania?Hata mimi sipendi camera
Aisee...We bado unafikiri hawa jamaa wa Asia kina Mo,Bakresa,GSM ni matajiri sio!!?
Nani kakwambia !!?hao ni waajiriwa wanaopata faida ya kusimamia biashara za madon wa kimedani wazawa walioshika ......... Nchini!!
Usijidanganye ni kama pale Kenya wasomali wanavyoendeleza Mali za kina Odinga ,Uhuru na co!!
Nadhani,usijidanganye na stori za kuuza vishikizo na vijihoteli sijui kitu gani!wao wanabeba business idea halafu mitaji ni ya wakubwa wakubwa elewa neno wakubwa!
Nawaza tu coz Duniani kote ndivyo ilivyo ni SAWA na Elon musk na utajiri wake unadhani ni wake au wa marekani kupitia yeye!!!?
Unakumbuka alifilisika kabisa akataka kurudi south ndio kitengo Cha america wakamuita na kumpa deal na Sasa Brand yake inalindwa na Marekani kama tajiri mkubwa!
Nchi ndio hutengeneza matajiri na maskini pia,juhudi pekee utaishia kupata Hela ya kubadili mboga ,kujenga na vigari kadhaa lakini don kabisa aiseh ACHA kabisa mkuu!!
Ila naye ni timu sifiasifiaBakhresa sijawahi kumwona lakini nimeona matendo yake mema, mfano Kuna kipindi nikiwa Dar alikuwa akifuturisha watu zaidi ya 3000 huko Chamazi na watu wengine pale Buguruni
Pia ana foundation zake zimazo Saidia watu ambazo Huwa haziweki wazi, yaani anatoa msaada kimya kimya
Acha stori za vijiweni kwenye kashata na kahawa huku mkisukuma drafti au bao, leta ushahidi.We bado unafikiri hawa jamaa wa Asia kina Mo,Bakresa,GSM ni matajiri sio!!?
Nani kakwambia !!?hao ni waajiriwa wanaopata faida ya kusimamia biashara za madon wa kimedani wazawa walioshika ......... Nchini!!
Usijidanganye ni kama pale Kenya wasomali wanavyoendeleza Mali za kina Odinga ,Uhuru na co!!
Nadhani,usijidanganye na stori za kuuza vishikizo na vijihoteli sijui kitu gani!wao wanabeba business idea halafu mitaji ni ya wakubwa wakubwa elewa neno wakubwa!
Nawaza tu coz Duniani kote ndivyo ilivyo ni SAWA na Elon musk na utajiri wake unadhani ni wake au wa marekani kupitia yeye!!!?
Unakumbuka alifilisika kabisa akataka kurudi south ndio kitengo Cha america wakamuita na kumpa deal na Sasa Brand yake inalindwa na Marekani kama tajiri mkubwa!
Nchi ndio hutengeneza matajiri na maskini pia,juhudi pekee utaishia kupata Hela ya kubadili mboga ,kujenga na vigari kadhaa lakini don kabisa aiseh ACHA kabisa mkuu!!
Huyo jamaa ameandika porojo zake hapo anafikiri kila mtu ni mjinga. Utakuta yupo baa anakunywa balimiAisee...
Ungekula kwenzi unyamaze kama ungekuwa karibu yangu....
Leta ushahidiIla naye ni timu sifiasifia
We unaongea vitu ambavo havipo Nigeria ndio nchi pekee afrika ambapo wazawa wameshika uchumi. Dar es salama ni ya waarabu na wahindi. Wanaochukua Tender kubwa serikalini ni hao Kuanzia Estim mpaka Simple computers. Kusema wazawa wanamiliki kampuni kubwa ni uongo labda kuiba kwa kupewa tenda ndogo ambazo jhata wasipofanya kazi hawatashatakiwa kama Lugumi.We bado unafikiri hawa jamaa wa Asia kina Mo,Bakresa,GSM ni matajiri sio!!?
Nani kakwambia !!?hao ni waajiriwa wanaopata faida ya kusimamia biashara za madon wa kimedani wazawa walioshika ......... Nchini!!
Usijidanganye ni kama pale Kenya wasomali wanavyoendeleza Mali za kina Odinga ,Uhuru na co!!
Nadhani,usijidanganye na stori za kuuza vishikizo na vijihoteli sijui kitu gani!wao wanabeba business idea halafu mitaji ni ya wakubwa wakubwa elewa neno wakubwa!
Nawaza tu coz Duniani kote ndivyo ilivyo ni SAWA na Elon musk na utajiri wake unadhani ni wake au wa marekani kupitia yeye!!!?
Unakumbuka alifilisika kabisa akataka kurudi south ndio kitengo Cha america wakamuita na kumpa deal na Sasa Brand yake inalindwa na Marekani kama tajiri mkubwa!
Nchi ndio hutengeneza matajiri na maskini pia,juhudi pekee utaishia kupata Hela ya kubadili mboga ,kujenga na vigari kadhaa lakini don kabisa aiseh ACHA kabisa mkuu!!
Tatizo la sisi wabongo ni wagumu sana kusoma code yaani ni kama mazezeta fulani hivi!!Umeongea pumba
Wazawa unawajua ninaowazungumzia!!?unafikiri ni hai machinga !?nimesema wakubwa!elewa neno wakubwa!!Ina maana hujaelewa wakubwa!!?We unaongea vitu ambavo havipo Nigeria ndio nchi pekee afrika ambapo wazawa wameshika uchumi. Dar es salama ni ya waarabu na wahindi. Wanaochukua Tender kubwa serikalini ni hao Kuanzia Estim mpaka Simple computers. Kusema wazawa wanamiliki kampuni kubwa ni uongo labda kuiba kwa kupewa tenda ndogo ambazo jhata wasipofanya kazi hawatashatakiwa kama Lugumi.
PKwahiyo Harmonize siyo Bakhresa? Kwamba anavyojiita Bakhresa hilo siyo jina lake? So kuna mtu anaitwa Bakhresa?
Unachekesha ! Kama akili yako ndio inaamini nchinndio inatengeneza matajiri. Huu ujinga utasumbua watu waliowajinga kama wewe. Eti Elon alitaka kufirisika akataka aende South .. Watu wanapambana na kuna njia wanazopitia hadi wanatoboa. Bakhresa hajapewa utajiri na serikali bali Family background na Committment zimemfikisha hapo. Serikali unatengeneza matajiri kwa serikali za huko kwenu ila Serikali duniani kote inafanya kazi na matajiri. Na hata matajiri pia hutafuta kufanya kazi na serikali na sio kwamba serikali ndio zinatengeneza matajiriWe bado unafikiri hawa jamaa wa Asia kina Mo,Bakresa,GSM ni matajiri sio!!?
Nani kakwambia !!?hao ni waajiriwa wanaopata faida ya kusimamia biashara za madon wa kimedani wazawa walioshika ......... Nchini!!
Usijidanganye ni kama pale Kenya wasomali wanavyoendeleza Mali za kina Odinga ,Uhuru na co!!
Nadhani,usijidanganye na stori za kuuza vishikizo na vijihoteli sijui kitu gani!wao wanabeba business idea halafu mitaji ni ya wakubwa wakubwa elewa neno wakubwa!
Nawaza tu coz Duniani kote ndivyo ilivyo ni SAWA na Elon musk na utajiri wake unadhani ni wake au wa marekani kupitia yeye!!!?
Unakumbuka alifilisika kabisa akataka kurudi south ndio kitengo Cha america wakamuita na kumpa deal na Sasa Brand yake inalindwa na Marekani kama tajiri mkubwa!
Nchi ndio hutengeneza matajiri na maskini pia,juhudi pekee utaishia kupata Hela ya kubadili mboga ,kujenga na vigari kadhaa lakini don kabisa aiseh ACHA kabisa mkuu!!
Kwahiyo Harmonize siyo Bakhresa? Kwamba anavyojiita Bakhresa hilo siyo jina lake? So kuna mtu anaitwa Bakhresa?
Asante Kwa kunielewa mkuu!!Unachekesha ! Kama akili yako ndio inaamini nchinndio inatengeneza matajiri. Huu ujinga utasumbua watu waliowajinga kama wewe. Eti Elon alitaka kufirisika akataka aende South .. Watu wanapambana na kuna njia wanazopitia hadi wanatoboa. Bakhresa hajapewa utajiri na serikali bali Family background na Committment zimemfikisha hapo. Serikali unatengeneza matajiri kwa serikali za huko kwenu ila Serikali duniani kote inafanya kazi na matajiri. Na hata matajiri pia hutafuta kufanya kazi na serikali na sio kwamba serikali ndio zinatengeneza matajiri
Sasa mkuu, camera ya nini ilihali huna jina wala pesa?Hata mimi sipendi camera