Kuandika tu hiyo content kumhusu yeye hiyo ni kazi kwa dunia ya Sasa..okota mkuuHapana me nakula Kwa jasho langu
Cha bure ni haramu
Wanaume mmekumbwa na gonjwa gani jamani kupenda uchawa?? Mtakuja dhalilika ohooNatamani kuwa chawa wako ila ndo ivo wewe hutaki machawa
Sasa mbona umesema unatamani kuwa chawa wakeHapana me nakula Kwa jasho langu
Cha bure ni haramu
Mhh! Hizi ni porojo tena zilizojaa husda. Duh! We ni wale wanaoshinda kijiweni na kujifanya unajua kila kitu. Uzi wa hovyoWe bado unafikiri hawa jamaa wa Asia kina Mo,Bakresa,GSM ni matajiri sio!!?
Nani kakwambia !!?hao ni waajiriwa wanaopata faida ya kusimamia biashara za madon wa kimedani wazawa walioshika ......... Nchini!!
Usijidanganye ni kama pale Kenya wasomali wanavyoendeleza Mali za kina Odinga ,Uhuru na co!!
Nadhani,usijidanganye na stori za kuuza vishikizo na vijihoteli sijui kitu gani!wao wanabeba business idea halafu mitaji ni ya wakubwa wakubwa elewa neno wakubwa!
Nawaza tu coz Duniani kote ndivyo ilivyo ni SAWA na Elon musk na utajiri wake unadhani ni wake au wa marekani kupitia yeye!!!?
Unakumbuka alifilisika kabisa akataka kurudi south ndio kitengo Cha america wakamuita na kumpa deal na Sasa Brand yake inalindwa na Marekani kama tajiri mkubwa!
Nchi ndio hutengeneza matajiri na maskini pia,juhudi pekee utaishia kupata Hela ya kubadili mboga ,kujenga na vigari kadhaa lakini don kabisa aiseh ACHA kabisa mkuu!!
Binafsi siifahamu hata sura yake ila kwa picha namuona ni tajiri humble sana na mwenye mafanikio halisi. Mzee Mengi nilimuona ni tajiri aliyebarikiwa na alikuwa halisi, humble pia sidhani kama alikuwa na show off.Bwenyenye wa Kitanzania, mtu mwenye ukwasi wa maana
Bakhresa hapendi mapicha wala kuonekana ovyo japo ana media kubwa, ana ving' amzi vyake, viwanda na timu ya mpira, ila ni nadra sana kumwona huyo tajiri Bakhresa
Bakhresa sijawahi kumwona lakini nimeona matendo yake mema, mfano Kuna kipindi nikiwa Dar alikuwa akifuturisha watu zaidi ya 3000 huko Chamazi na watu wengine pale Buguruni
Pia ana foundation zake zimazo Saidia watu ambazo Huwa haziweki wazi, yaani anatoa msaada kimya kimya
Matajiri wengine kama alivokuwa Mzee Mengi kila siku ilikuwa lazima umwone IPP media ila sidhani kama Bakhresa ashawahi kuonekana Azam tv
Najua ni ngumu Kwa umaarufu wake na utajiri wake kutotokea hadharani yeye anaongea Kwa matendo yake
Binafsi nafurahia maisha yake
Mungu akuweke sana tajiri mtu wa watu Bakhresa
Natamani kuwa chawa wako ila ndo ivo wewe hutaki machawa
Mengi alikuwa good sema alikuwa ni mtu wa kujionyesha sana akisaidiaBinafsi siifahamu hata sura yake ila kwa picha namuona ni tajiri humble sana na mwenye mafanikio halisi. Mzee Mengi nilimuona ni tajiri aliyebarikiwa na alikuwa halisi, humble pia sidhani kama alikuwa na show off.
Hiyo sasa si style ya mtu ya kuishi mkuu. Haihusiani na hela. Kuwa waz haitgemei ulizonazo ila mapenz yako kwenye huo uwaz. Kuna watu hawana buku na hawapend pia kuonekana. Kutaka tajir asijionyeshe haimaanishi ni mnyenyekevu ila ni life style. Sisi ndio washamba wa kufuatilia life la watuBwenyenye wa Kitanzania, mtu mwenye ukwasi wa maana
Bakhresa hapendi mapicha wala kuonekana ovyo japo ana media kubwa, ana ving' amzi vyake, viwanda na timu ya mpira, ila ni nadra sana kumwona huyo tajiri Bakhresa
Bakhresa sijawahi kumwona lakini nimeona matendo yake mema, mfano Kuna kipindi nikiwa Dar alikuwa akifuturisha watu zaidi ya 3000 huko Chamazi na watu wengine pale Buguruni
Pia ana foundation zake zimazo Saidia watu ambazo Huwa haziweki wazi, yaani anatoa msaada kimya kimya
Matajiri wengine kama alivokuwa Mzee Mengi kila siku ilikuwa lazima umwone IPP media ila sidhani kama Bakhresa ashawahi kuonekana Azam tv
Najua ni ngumu Kwa umaarufu wake na utajiri wake kutotokea hadharani yeye anaongea Kwa matendo yake
Binafsi nafurahia maisha yake
Mungu akuweke sana tajiri mtu wa watu Bakhresa
Natamani kuwa chawa wako ila ndo ivo wewe hutaki machawa
Hoja nzuri mno MkuuHiyo sasa si style ya mtu ya kuishi mkuu. Haihusiani na hela. Kuwa waz haitgemei ulizonazo ila mapenz yako kwenye huo uwaz. Kuna watu hawana buku na hawapend pia kuonekana. Kutaka tajir asijionyeshe haimaanishi ni mnyenyekevu ila ni life style. Sisi ndio washamba wa kufuatilia life la watu
Umeongea Kwa ukali Sana .ebu agiza 🍺🍺 nitalipaWe bado unafikiri hawa jamaa wa Asia kina Mo,Bakresa,GSM ni matajiri sio!!?
Nani kakwambia !!?hao ni waajiriwa wanaopata faida ya kusimamia biashara za madon wa kimedani wazawa walioshika ......... Nchini!!
Usijidanganye ni kama pale Kenya wasomali wanavyoendeleza Mali za kina Odinga ,Uhuru na co!!
Nadhani,usijidanganye na stori za kuuza vishikizo na vijihoteli sijui kitu gani!wao wanabeba business idea halafu mitaji ni ya wakubwa wakubwa elewa neno wakubwa!
Nawaza tu coz Duniani kote ndivyo ilivyo ni SAWA na Elon musk na utajiri wake unadhani ni wake au wa marekani kupitia yeye!!!?
Unakumbuka alifilisika kabisa akataka kurudi south ndio kitengo Cha america wakamuita na kumpa deal na Sasa Brand yake inalindwa na Marekani kama tajiri mkubwa!
Nchi ndio hutengeneza matajiri na maskini pia,juhudi pekee utaishia kupata Hela ya kubadili mboga ,kujenga na vigari kadhaa lakini don kabisa aiseh ACHA kabisa mkuu!!