Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,328
- 11,464
Sijawahi kumwona
Sijawahi kumwona
Kuna namna kama nimekuelewa.. unakuta politicians wanapigq pesa ndefu ,ili kuisafisha anaamua kuinject kwa hawa Asians.. anyway huyu bakhresa pia yawezekana ni mmojawapo wa deepstateWe bado unafikiri hawa jamaa wa Asia kina Mo,Bakresa,GSM ni matajiri sio!!?
Nani kakwambia !!?hao ni waajiriwa wanaopata faida ya kusimamia biashara za madon wa kimedani wazawa walioshika ......... Nchini!!
Usijidanganye ni kama pale Kenya wasomali wanavyoendeleza Mali za kina Odinga ,Uhuru na co!!
Nadhani,usijidanganye na stori za kuuza vishikizo na vijihoteli sijui kitu gani!wao wanabeba business idea halafu mitaji ni ya wakubwa wakubwa elewa neno wakubwa!
Nawaza tu coz Duniani kote ndivyo ilivyo ni SAWA na Elon musk na utajiri wake unadhani ni wake au wa marekani kupitia yeye!!!?
Unakumbuka alifilisika kabisa akataka kurudi south ndio kitengo Cha america wakamuita na kumpa deal na Sasa Brand yake inalindwa na Marekani kama tajiri mkubwa!
Nchi ndio hutengeneza matajiri na maskini pia,juhudi pekee utaishia kupata Hela ya kubadili mboga ,kujenga na vigari kadhaa lakini don kabisa aiseh ACHA kabisa mkuu!!
Nani kakwambia Bakhresa ana shida ya Chawa?Natamani kuwa chawa wako ila ndo ivo wewe hutaki machawa
Hii ya kitambo sana mpaka imefubaa
We chawa uliyejificha, umeonekana😄😄😄Bwenyenye wa Kitanzania, mtu mwenye ukwasi wa maana
Bakhresa hapendi mapicha wala kuonekana ovyo japo ana media kubwa, ana ving' amzi vyake, viwanda na timu ya mpira, ila ni nadra sana kumwona huyo tajiri Bakhresa
Bakhresa sijawahi kumwona lakini nimeona matendo yake mema, mfano Kuna kipindi nikiwa Dar alikuwa akifuturisha watu zaidi ya 3000 huko Chamazi na watu wengine pale Buguruni
Pia ana foundation zake zimazo Saidia watu ambazo Huwa haziweki wazi, yaani anatoa msaada kimya kimya
Matajiri wengine kama alivokuwa Mzee Mengi kila siku ilikuwa lazima umwone IPP media ila sidhani kama Bakhresa ashawahi kuonekana Azam tv
Najua ni ngumu Kwa umaarufu wake na utajiri wake kutotokea hadharani yeye anaongea Kwa matendo yake
Binafsi nafurahia maisha yake
Mungu akuweke sana tajiri mtu wa watu Bakhresa
Natamani kuwa chawa wako ila ndo ivo wewe hutaki machawa
Kwani umepata hela na wewe?Hata mimi sipendi camera
Kuna lile lijizi limoja lingekua Arusha sasa hivi lingekua lishaogeshwa petrol linaitwa godlovu sijui doglovu mpumbavu hana kitu ila kelele nyinyi shenziMatajiri wa camera ni wale wa ufisadi na sio wapambanaji.
Mpambanaji yeyeto huwezi kuta camera majivuni sijui magari ya kumwaga uwani sijui bata wa hivi huwa ni matajiri wa ufisadi,wa ndagu, ujanja janja
We bado unafikiri hawa jamaa wa Asia kina Mo,Bakresa,GSM ni matajiri sio!!?
Nani kakwambia !!?hao ni waajiriwa wanaopata faida ya kusimamia biashara za madon wa kimedani wazawa walioshika ......... Nchini!!
Usijidanganye ni kama pale Kenya wasomali wanavyoendeleza Mali za kina Odinga ,Uhuru na co!!
Nadhani,usijidanganye na stori za kuuza vishikizo na vijihoteli sijui kitu gani!wao wanabeba business idea halafu mitaji ni ya wakubwa wakubwa elewa neno wakubwa!
Nawaza tu coz Duniani kote ndivyo ilivyo ni SAWA na Elon musk na utajiri wake unadhani ni wake au wa marekani kupitia yeye!!!?
Unakumbuka alifilisika kabisa akataka kurudi south ndio kitengo Cha america wakamuita na kumpa deal na Sasa Brand yake inalindwa na Marekani kama tajiri mkubwa!
Nchi ndio hutengeneza matajiri na maskini pia,juhudi pekee utaishia kupata Hela ya kubadili mboga ,kujenga na vigari kadhaa lakini don kabisa aiseh ACHA kabisa mkuu!!
Huyo maandazi kabisa tena usimlete kwenye huu uzi unazungumzia matajiri sio waigizaji wa utajiriChief Godlove njoo usome hapa limbukeni wa Hela.
Yule scammer pesa zipo kwa wajinga ukiwa mjanja zipige tu anatoza kiingilio kwa laki na nusu wengi lazima wajae akipata watu 200 ashatoboaKuna lile lijizi limoja lingekua Arusha sasa hivi lingekua lishaogeshwa petrol linaitwa godlovu sijui doglovu mpumbavu hana kitu ila kelele nyinyi shenzi
Lijizi linaitwa doglovu sijuiYule scammer
Elezea vizuri hapoKuna toto.la ruksa lilichukua mikataba yote ya Bakhresa group na kuzua tafrani kwenye familia hizo tatu za marehem mzee!?
Aiseee..... Inasikitisha sana. Sisi wanaume huwa ni ngumu hata kuwazia kuwa chawa wa mtu. Ni aibu sana. Hii dunia sijui inaenda wapi. Unaweza kuta mwandishi alizaliwa kama mwanaume.Bwenyenye wa Kitanzania, mtu mwenye ukwasi wa maana
Bakhresa hapendi mapicha wala kuonekana ovyo japo ana media kubwa, ana ving' amzi vyake, viwanda na timu ya mpira, ila ni nadra sana kumwona huyo tajiri Bakhresa
Bakhresa sijawahi kumwona lakini nimeona matendo yake mema, mfano Kuna kipindi nikiwa Dar alikuwa akifuturisha watu zaidi ya 3000 huko Chamazi na watu wengine pale Buguruni
Pia ana foundation zake zimazo Saidia watu ambazo Huwa haziweki wazi, yaani anatoa msaada kimya kimya
Matajiri wengine kama alivokuwa Mzee Mengi kila siku ilikuwa lazima umwone IPP media ila sidhani kama Bakhresa ashawahi kuonekana Azam tv
Najua ni ngumu Kwa umaarufu wake na utajiri wake kutotokea hadharani yeye anaongea Kwa matendo yake
Binafsi nafurahia maisha yake
Mungu akuweke sana tajiri mtu wa watu Bakhresa
Natamani kuwa chawa wako ila ndo ivo wewe hutaki machawa
Hakuna mwanasiasa aliyefanya maendeleo kuanzia kwa Mwinyi mpaka kwa Magufuli na ndio maana kila kukicha wanangangania madaraka. Hakuna watu waliolala kama wanasiasa wao wanataka chao mapema maana hawana uhakika na awamu ijayo ya uongozi. Wahindi nawaarabu ndio wanawacheza, Home Shopping Centre walimlisha kikwete baadae wakabadili jina na kuwa GSM na kumlisha magufuli. Leo hii wanamlisha mama Samia. Narudia na kusema hakuna kampuni kubwa inamilikiwa kwa controlling shares na mwanasiasa yeyote Tanzania.Wazawa unawajua ninaowazungumzia!!?unafikiri ni hai machinga !?nimesema wakubwa!elewa neno wakubwa!!Ina maana hujaelewa wakubwa!!?
Yaani code ya wakubwa na wewe huijui!!?
We jamaa!!
Hizo kampuni zinazopewa tenda unajua ni za nani!!? Hakuna mkubwa anaetaka kuandika ye anamiliki biashara fulani!elewa neno wakubwa!!!
WAKUBWA NENO WAKUBWA!
Ungekuwa mwanasiasa ungependa saaaaana camera, hupendi sababu sio mwanasiasaKama mimi