Bakhresa tajiri asiyependa camera

Bakhresa tajiri asiyependa camera

Sijawahi kumwona
images.jpeg
 
We bado unafikiri hawa jamaa wa Asia kina Mo,Bakresa,GSM ni matajiri sio!!?

Nani kakwambia !!?hao ni waajiriwa wanaopata faida ya kusimamia biashara za madon wa kimedani wazawa walioshika ......... Nchini!!

Usijidanganye ni kama pale Kenya wasomali wanavyoendeleza Mali za kina Odinga ,Uhuru na co!!

Nadhani,usijidanganye na stori za kuuza vishikizo na vijihoteli sijui kitu gani!wao wanabeba business idea halafu mitaji ni ya wakubwa wakubwa elewa neno wakubwa!

Nawaza tu coz Duniani kote ndivyo ilivyo ni SAWA na Elon musk na utajiri wake unadhani ni wake au wa marekani kupitia yeye!!!?

Unakumbuka alifilisika kabisa akataka kurudi south ndio kitengo Cha america wakamuita na kumpa deal na Sasa Brand yake inalindwa na Marekani kama tajiri mkubwa!

Nchi ndio hutengeneza matajiri na maskini pia,juhudi pekee utaishia kupata Hela ya kubadili mboga ,kujenga na vigari kadhaa lakini don kabisa aiseh ACHA kabisa mkuu!!
Kuna namna kama nimekuelewa.. unakuta politicians wanapigq pesa ndefu ,ili kuisafisha anaamua kuinject kwa hawa Asians.. anyway huyu bakhresa pia yawezekana ni mmojawapo wa deepstate
 
Bwenyenye wa Kitanzania, mtu mwenye ukwasi wa maana

Bakhresa hapendi mapicha wala kuonekana ovyo japo ana media kubwa, ana ving' amzi vyake, viwanda na timu ya mpira, ila ni nadra sana kumwona huyo tajiri Bakhresa

Bakhresa sijawahi kumwona lakini nimeona matendo yake mema, mfano Kuna kipindi nikiwa Dar alikuwa akifuturisha watu zaidi ya 3000 huko Chamazi na watu wengine pale Buguruni

Pia ana foundation zake zimazo Saidia watu ambazo Huwa haziweki wazi, yaani anatoa msaada kimya kimya

Matajiri wengine kama alivokuwa Mzee Mengi kila siku ilikuwa lazima umwone IPP media ila sidhani kama Bakhresa ashawahi kuonekana Azam tv

Najua ni ngumu Kwa umaarufu wake na utajiri wake kutotokea hadharani yeye anaongea Kwa matendo yake

Binafsi nafurahia maisha yake

Mungu akuweke sana tajiri mtu wa watu Bakhresa

Natamani kuwa chawa wako ila ndo ivo wewe hutaki machawa
We chawa uliyejificha, umeonekana😄😄😄
 
Matajiri wa camera ni wale wa ufisadi na sio wapambanaji.
Mpambanaji yeyeto huwezi kuta camera majivuni sijui magari ya kumwaga uwani sijui bata wa hivi huwa ni matajiri wa ufisadi,wa ndagu, ujanja janja
 
Matajiri wa camera ni wale wa ufisadi na sio wapambanaji.
Mpambanaji yeyeto huwezi kuta camera majivuni sijui magari ya kumwaga uwani sijui bata wa hivi huwa ni matajiri wa ufisadi,wa ndagu, ujanja janja
Kuna lile lijizi limoja lingekua Arusha sasa hivi lingekua lishaogeshwa petrol linaitwa godlovu sijui doglovu mpumbavu hana kitu ila kelele nyinyi shenzi
 
We bado unafikiri hawa jamaa wa Asia kina Mo,Bakresa,GSM ni matajiri sio!!?

Nani kakwambia !!?hao ni waajiriwa wanaopata faida ya kusimamia biashara za madon wa kimedani wazawa walioshika ......... Nchini!!

Usijidanganye ni kama pale Kenya wasomali wanavyoendeleza Mali za kina Odinga ,Uhuru na co!!

Nadhani,usijidanganye na stori za kuuza vishikizo na vijihoteli sijui kitu gani!wao wanabeba business idea halafu mitaji ni ya wakubwa wakubwa elewa neno wakubwa!

Nawaza tu coz Duniani kote ndivyo ilivyo ni SAWA na Elon musk na utajiri wake unadhani ni wake au wa marekani kupitia yeye!!!?

Unakumbuka alifilisika kabisa akataka kurudi south ndio kitengo Cha america wakamuita na kumpa deal na Sasa Brand yake inalindwa na Marekani kama tajiri mkubwa!

Nchi ndio hutengeneza matajiri na maskini pia,juhudi pekee utaishia kupata Hela ya kubadili mboga ,kujenga na vigari kadhaa lakini don kabisa aiseh ACHA kabisa mkuu!!

Kiongozi, ukiendelea kujifariji kwa kuwa na mawazo kama hayo, unaweza kuwa masikini maisha yako yote;
Hivi unafikiri hadi mtu afike kuaminiwa kupewa mfano kiwanda cha Toyota, Project ya Mabilioni, nk nk unafikiri ni kazi rahisi?
Kwanza, sharti namba moja lazima uwe na clean sheet ya kuonesha ulivyoweza kukuza mtaji wako kutoka Milioni kwenda Bilioni kwa kipindi cha kueleweka na umeweza kupambana na ups and down za kila aina.
Lakini pia kupewa hiyo miradi ni lazima uwe share holder mkubwa tu, hivyo sio kweli kuwa wale ni waajiriwa tu. Hakuna mtu anapewa capital ya karibia trillion halafu mwenyewe asiwe na share.
Uliza watu wenye exposure ya hiyo mikataba ya kimataifa ya uendeshaji wa Biashara...
 
Kuna lile lijizi limoja lingekua Arusha sasa hivi lingekua lishaogeshwa petrol linaitwa godlovu sijui doglovu mpumbavu hana kitu ila kelele nyinyi shenzi
Yule scammer pesa zipo kwa wajinga ukiwa mjanja zipige tu anatoza kiingilio kwa laki na nusu wengi lazima wajae akipata watu 200 ashatoboa
 
Bwenyenye wa Kitanzania, mtu mwenye ukwasi wa maana

Bakhresa hapendi mapicha wala kuonekana ovyo japo ana media kubwa, ana ving' amzi vyake, viwanda na timu ya mpira, ila ni nadra sana kumwona huyo tajiri Bakhresa

Bakhresa sijawahi kumwona lakini nimeona matendo yake mema, mfano Kuna kipindi nikiwa Dar alikuwa akifuturisha watu zaidi ya 3000 huko Chamazi na watu wengine pale Buguruni

Pia ana foundation zake zimazo Saidia watu ambazo Huwa haziweki wazi, yaani anatoa msaada kimya kimya

Matajiri wengine kama alivokuwa Mzee Mengi kila siku ilikuwa lazima umwone IPP media ila sidhani kama Bakhresa ashawahi kuonekana Azam tv

Najua ni ngumu Kwa umaarufu wake na utajiri wake kutotokea hadharani yeye anaongea Kwa matendo yake

Binafsi nafurahia maisha yake

Mungu akuweke sana tajiri mtu wa watu Bakhresa

Natamani kuwa chawa wako ila ndo ivo wewe hutaki machawa
Aiseee..... Inasikitisha sana. Sisi wanaume huwa ni ngumu hata kuwazia kuwa chawa wa mtu. Ni aibu sana. Hii dunia sijui inaenda wapi. Unaweza kuta mwandishi alizaliwa kama mwanaume.
 
Wazawa unawajua ninaowazungumzia!!?unafikiri ni hai machinga !?nimesema wakubwa!elewa neno wakubwa!!Ina maana hujaelewa wakubwa!!?

Yaani code ya wakubwa na wewe huijui!!?

We jamaa!!

Hizo kampuni zinazopewa tenda unajua ni za nani!!? Hakuna mkubwa anaetaka kuandika ye anamiliki biashara fulani!elewa neno wakubwa!!!

WAKUBWA NENO WAKUBWA!
Hakuna mwanasiasa aliyefanya maendeleo kuanzia kwa Mwinyi mpaka kwa Magufuli na ndio maana kila kukicha wanangangania madaraka. Hakuna watu waliolala kama wanasiasa wao wanataka chao mapema maana hawana uhakika na awamu ijayo ya uongozi. Wahindi nawaarabu ndio wanawacheza, Home Shopping Centre walimlisha kikwete baadae wakabadili jina na kuwa GSM na kumlisha magufuli. Leo hii wanamlisha mama Samia. Narudia na kusema hakuna kampuni kubwa inamilikiwa kwa controlling shares na mwanasiasa yeyote Tanzania.
 
Utajiri wa kipumbavu ndio wanapenda sifa wa akili kwenye sifa uwapati Wala Forbes hawapo
 
Back
Top Bottom