Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Iv mnataka waajiriwe wakristo wang kwenye iyo azam??? Vp hao mnaowaita waislamu wanasifa /hawana sifa za kufanya izo kazi???? Naomba mrejo
 
Huyu mzee kuna kipindi hata ukipelekwa kwake kuwa unataka kusilimu unapatiwa hadi fedha! kwa udini anafahamika sana sana wala sio kitu kigeni.
 
Ajielewi Huyu jamaa
 
Wako Sahihi kabisa
 
Mkuu umeniquote pasipo kujuwa nilichokisema kipo katika mlengo upi.
 
Kosa lake kuipenda uislam
 
Ujinga mtupu

Eti nijuzeni kuna TAASISI GAN YA KIKRISTU AMBAYO wafanyakazi waislam ni wengi kuliko Wakristo??????
 


Udini upo:

SSB
MO DEWJI
GSM GROUP OF COMPANIES
 
mbona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
Hao ni watu unique mzee watu kama kina Charles Hilary na Muhando Duncan ilikuwa lazima wawepo pale kwa sababu ya taaluma zao na ujuzi wao lakini kama sivyo nadhani usingwaona pale.

Ila wewe dereva wa kuendesha endesha juice kutoka hapa kupeleka pale hata ukiwa strd7 inawezekana ndo huu utata unapoanzia,japo sisemi kama upo maana sijui naandika kutokana kilichopostiwa hapa.
 
Karibu secta binafsi zote Kuna ubaguz ila bakhresa group wamezid, ubaguz WA din WA Hali ya juu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…