Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
[emoji43] [emoji43] [emoji43] [emoji43]Aisee.
Au hata ukimuona barabarani anaendesha gari unahamia kwenye njia ya mabasi ya mwendo kasi [emoji23] [emoji23]
[emoji43] [emoji43] [emoji43] [emoji43]Aisee.
Au hata ukimuona barabarani anaendesha gari unahamia kwenye njia ya mabasi ya mwendo kasi [emoji23] [emoji23]
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Beutiful!!??
"Hatutatulia vitini" ok, wewe ni mbunge wa upinzani!?Naona kwenye ratiba ya Azam TV, wanatarajia kuonesha bunge live kuanzia saa tatu hadi saa saba mchana.
Nahisi spika Ndugai ataongoza kikao cha leo, ili kuzuia wapinzani kutoka nje, maana akikaa Tulia wapinzani hatutatulia vitini na tukio hilo litaonekana live nchini na duniani.
Ukiwa kiongozi unajulikana na kila mtu hata kama huyo kiongozi hawajui watu wote. Raha ya kiongozi yeyote ni kupendwa na jamii, sasa kama upepo unaonyeshwa hupendwi na wengi na wewe hujali basi utakuwa huna kipaji cha kuwa kiongozi. Yaani kubebwa ndio tegemeo lako. Mitandao ya kijamii na media inaweza kukupa upepo wa hali ilivyo.Hahaha unamchukia mtu hata asiyejua kama kuna binadamu kama wewe Dunia hii? Ninyi ndiyo wale watu mnaopenda msipopendwa!
Hatushangai, pia ni mtu asiejua kama kuna jimboHahaha unamchukia mtu hata asiyejua kama kuna binadamu kama wewe Dunia hii? Ninyi ndiyo wale watu mnaopenda msipopendwa!
BEAUTY IS ON THE EYE OF THE BEHOLDERNo Nyani Ngabu labda Comment yako haimuhusu Dada Tulia.
Hahaha unamchukia mtu hata asiyejua kama kuna binadamu kama wewe Dunia hii? Ninyi ndiyo wale watu mnaopenda msipopendwa!
We nae kaa utulie mbona ww ulikuwa unamchukia obama
Ha ha teh teh...Aisee.
Au hata ukimuona barabarani anaendesha gari unahamia kwenye njia ya mabasi ya mwendo kasi [emoji23] [emoji23]
Naona kwenye ratiba ya Azam TV, wanatarajia kuonesha bunge live kuanzia saa tatu hadi saa saba mchana.
Nahisi spika Ndugai ataongoza kikao cha leo, ili kuzuia wapinzani kutoka nje, maana akikaa Tulia wapinzani hatutatulia vitini na tukio hilo litaonekana live nchini na duniani.
Naona kwenye ratiba ya Azam TV, wanatarajia kuonesha bunge live kuanzia saa tatu hadi saa saba mchana.
Nahisi spika Ndugai ataongoza kikao cha leo, ili kuzuia wapinzani kutoka nje, maana akikaa Tulia wapinzani hatutatulia vitini na tukio hilo litaonekana live nchini na duniani.