Bajeti kuu leo, bunge kuoneshwa live

Bajeti kuu leo, bunge kuoneshwa live

Hamnaga maspika wa kike wenye sifa na sura zenye uafadhali kidogo?
 
Sijawahi kutamka neno namchukia Obama au mtu yoyote yule ambaye simjui na wala simfahamu, huwa natoa tu maoni yangu kulingana na jinsi ninavyoona lkn siwezi kusema namchukia, kwani ni ujinga na siyo haki pia kwa kuwa huyo ni Kiongozi na Uongozi una mambo mengi sana hivyo unavyosema unamchukia mtu ina maana unamjua na kumfahamu kwa undani na kwamba yale anayoyafanya unafahamu kabisa kwamba anayafanya kwa makusudi na kwa matakwa yake na yako ndani ya uwezo wake!
Hivi vigezo unavyovielezea hapa ndo umchukie mtu vimeanzishwa kwenye sheria gani? Km ni mpya na wewe ndo mwanzilishi wake napendekeza iitwe vigezo vya kumchukia mtu.
 
Ina maana leo Nape anataka tushinde njaa na kulala njaa kwa kutizama Bunge? Hii sio sawa kabisa ukizingatia hatujamaliza palizi huku mashamban! Hahaha!
 
Kwahiyo leo iatkuwa siku ya mapumziko? Maana si hawataki watu waangalie bunge "eti ili wafanye kazi"
 
Ukiwa kiongozi unajulikana na kila mtu hata kama huyo kiongozi hawajui watu wote. Raha ya kiongozi yeyote ni kupendwa na jamii, sasa kama upepo unaonyeshwa hupendwi na wengi na wewe hujali basi utakuwa huna kipaji cha kuwa kiongozi. Yaani kubebwa ndio tegemeo lako. Mitandao ya kijamii na media inaweza kukupa upepo wa hali ilivyo.
mkuu huo utafiti umeufanya wap mpaka ukaja na matokeo kuwa dr tulia hapendwi?
 
Bunge leo ni Live, lengo ikiwa ni kuwawezesha wananchi kufuatilia mpango wa serekali kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Mpango wa serikali upo kwa leo tuu?
 
Lisionyeshwe laivu ili kubana bajeti na kuwafanya watanzania wakafanye kazi, au leo itakua Public? Pumbafu kabisa
 
Bunge leo ni Live, lengo ikiwa ni kuwawezesha wananchi kufuatilia mpango wa serekali kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

Mpango wa serikali upo kwa leo tuu?
Hahahhahaha au kubana matumizi.... hahahhaa wanataka tusikie jinsi kodi ilivyopandishwa
 
Bajeti itakuwa kubwa na utekelezaji utakuwa wa hovyo kwakuwa anayetawala haongozi nchi...na baraza lake ni kibogoyo katika PLAN na ARGUMENT
NB: Bunge litakuwa live kwasababu waziri mwenye dhamana ya usimamizi wa vyombo vya mawasiliano anaishi kama kuku aliyekatwa kichwa.
 
Ndugai hayupo nchini. Yupo India kwa matibabu.
 
Back
Top Bottom