Bajeti kuu leo, bunge kuoneshwa live

Bajeti kuu leo, bunge kuoneshwa live

Kuna taarifa kuwa bajetI inayotarajiwa kusomwa kuanzia saa kumi jioni ya leo itakuwa live kwenye tv karibu zote, itakapoaanza tupeane taarifa wadau
 
Kuna taarifa kuwa bajetI inayotarajiwa kusomwa kuanzia saa kumi jioni ya leo itakuwa live kwenye tv karibu zote, itakapoaanza tupeane taarifa wadau
Of what use? Nitazima kila kitu na kesho sinunui gazeti. Ili nisome kitu gani? Nisikilize kitu gani? Kila kitu kinajulikana. hakuna jipya
 
Nimeona mijadala mingi kwenye mitandao mbalimbali ya jamii ikionesha hisia tofauti kuhusu bajeti kusomwa live.

Wengi wanasema leo ndio bunge limeanza kuoneshwa live ila wapo wachache wanaobisha huku wakizidiwa nguvu na wengi.

Binafsi nimeshaliangalia mara kadhaa bunge hili likioneshwa live.Nataka kujua hivi wanaosema limeanza leo wanamaanisha nini hasa?
Kuna bajeti ya wizara yoyote au mjadala uliwahi kuangalia live katika hizo siku ulizoangalia zaidi ya session ya maswali na majibu tu!?
 
Kwenye ratiba inaonyesha hivo lakin itakapoaanza kusomwa bungeni wataunganisha ili kutujuza kinachoendelea
 
Mi simpendi huyo Tulia hata nikimuona kwenye taarifa ya habari huwa nabadili channel

Nani unampenda? Yeye anajua kama humpendi? manake isijekuwa mlishawahi kugonganisha maslahi manake watoto wamjini nyie, "kunnyima ntu kitu angali kitu unacho somo, baah! kuoona soni".

Haiwezekani mtu usiyemjua umchukie kwa kiwango hiki cha kwako.
 
Nimeona mijadala mingi kwenye mitandao mbalimbali ya jamii ikionesha hisia tofauti kuhusu bajeti kusomwa live.

Wengi wanasema leo ndio bunge limeanza kuoneshwa live ila wapo wachache wanaobisha huku wakizidiwa nguvu na wengi.

Binafsi nimeshaliangalia mara kadhaa bunge hili likioneshwa live.Nataka kujua hivi wanaosema limeanza leo wanamaanisha nini hasa?
Hivi hapo kwa mtazamo wako ulikusudia kuandika kitu gani haswa? Ina maana hujui kuwa serikali imekataza bunge kuonyeshwa live kwa hoja ya kuwafanya watanzania wafanye kazi badala ya kuangalia tv?
 
Kuna bajeti ya wizara yoyote au mjadala uliwahi kuangalia live katika hizo siku ulizoangalia zaidi ya session ya maswali na majibu tu!?
Hilo swali ni gumu sana kwake kulijibu
 
Naona iko live leo wameachia kwenye Bajeti ngoja tuone vipau mbele ni nn kwenye awamu ya hapa kazi tu............
 
Kwani watu wamepewa likizo waweze kuangalia bajeti majumbani mwao!?
 
Ina maana leo Nape anataka tushinde njaa na kulala njaa kwa kutizama Bunge? Hii sio sawa kabisa ukizingatia hatujamaliza palizi huku mashamban! Hahaha!

Kwahiyo leo iatkuwa siku ya mapumziko? Maana si hawataki watu waangalie bunge "eti ili wafanye kazi"

Lisionyeshwe laivu ili kubana bajeti na kuwafanya watanzania wakafanye kazi, au leo itakua Public? Pumbafu kabisa

kwani leo watu hawahitaji kufanya kazi?

Kwa nini waonyeshe live wanataka watanzania tusifanye kazi leo?. Kwa nini wasirecord na kuonyesha usiku?

Hata kama ni huyo tulia hilo bunge siliangalii

Kwani watu wamepewa likizo waweze kuangalia bajeti majumbani mwao!?
Ha ha haaa watu mna visa nyie looh
 
Ngoja tusikilizee,, japo wenzetu wawakilishii wametoka njee
 
Zitto yupo studio Azam TV, tayari kwa uchambuzi wa hotuba ya bajeti mara tu ikimalizika kusomwa.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom