NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,520
- 17,426
Subirini mi niingie ikulu!!nitashusha mishahara ya wabunge!kufikia robo ya wanaochukua sasa!!Hapo nita expose uzalendo wao!!!
Bro unaelewa kweli.....Mapendekezo ya bajeti ya 2021/2022 ni kwamba moja ya vyanzo vya fedha iwe ni kodi ya laini za simu.
Kila laini ya simu kwa mujibu wa mapendekezo yaliyosomwa na waziri wa fedha itakatwa kati ya Tshs 10/= mpk Tshs 100/= kwa kila siku. Bila kusahau VAT na makato mengine yaliyokuwepo yataendelea.
Yaani wabunge ndiyo wataamuua iwe kiasi gani. Wakiamua tukatwe Tshs 10/= sawa wakiamua Tshs 80/= sawa ama wakiamua Tshs 100/= sawa. Kwa kifupi ni kwamba wabunge watapendekeza kiwango cha kutoza kisichopungua Tshs 10/= lkn pia hakitazidi Tshs 100/=.
Kwa kika siku, haijalishi mtumiaji anaumwa, yuko mahabusu, yuko labour, anauguza ama hatumii hiyo laini atakatwa hicho kiasi.
Ukiweka buku, kabla hujapiga ama hujanunua kifurushi wanakata Tshs 100 yao bila kusahau VAT. Kama hujakatwa kwa muda wa wiki 2 kwasabb hujatumia laini kwa wiki hizo 2 na laini ilikuwa haina kifurush chochote Wala mobile money, basi ukiweka buku yote wanachukuwa na bado unakuwa na deni la Tshs 400/= pamoja na VAT.
Maana yake kwa kutotumia laini wiki 2 (siku 14) unakuwa na deni la Tshs 100/= × 14 = 1,400/=.
Usipoitumia laini kwa wiki 3 ni bora ukasajiri nyingine tu.
Hiyo ndiyo Kodi ya uzalendo aliyoipigia kelele mbunge Zungu na kukubaliwa na waziri Mwigulu.
Tuna mali chungu nzima;-
-madini ya kila aina,
-gesi za kila aina, mpk Helium, .
-wanyama pori,
-mbuga za wanyama,
-misitu,
-bahari, .
-bandari,
-mafuta,
-makaa ya mawe,
-mlima mrefu kuliko yote Afrika
Yoote haya yameshindwa kuwa vyanzo bora vya kodi hadi wanakuja kuchukua Kodi ya laini? Tena sh 100/= kwa siku??!!!
Subirini mi niingie ikulu!!nitashusha mishahara ya wabunge!kufikia robo ya wanaochukua sasa!!Hapo nita expose uzalendo wao!!!
Zungu amependekeza iyo Kodi,anajua ye Hana muda mrefu huenda sir God akamuitaji, kwaiyo Hana Cha kupotezaMapendekezo ya bajeti ya 2021/2022 ni kwamba moja ya vyanzo vya fedha iwe ni kodi ya laini za simu.
Kila laini ya simu kwa mujibu wa mapendekezo yaliyosomwa na waziri wa fedha itakatwa kati ya Tshs 10/= mpk Tshs 100/= kwa kila siku. Bila kusahau VAT na makato mengine yaliyokuwepo yataendelea.
Yaani wabunge ndiyo wataamuua iwe kiasi gani. Wakiamua tukatwe Tshs 10/= sawa wakiamua Tshs 80/= sawa ama wakiamua Tshs 100/= sawa. Kwa kifupi ni kwamba wabunge watapendekeza kiwango cha kutoza kisichopungua Tshs 10/= lkn pia hakitazidi Tshs 100/=.
Kwa kika siku, haijalishi mtumiaji anaumwa, yuko mahabusu, yuko labour, anauguza ama hatumii hiyo laini atakatwa hicho kiasi.
Ukiweka buku, kabla hujapiga ama hujanunua kifurushi wanakata Tshs 100 yao bila kusahau VAT. Kama hujakatwa kwa muda wa wiki 2 kwasabb hujatumia laini kwa wiki hizo 2 na laini ilikuwa haina kifurush chochote Wala mobile money, basi ukiweka buku yote wanachukuwa na bado unakuwa na deni la Tshs 400/= pamoja na VAT.
Maana yake kwa kutotumia laini wiki 2 (siku 14) unakuwa na deni la Tshs 100/= × 14 = 1,400/=.
Usipoitumia laini kwa wiki 3 ni bora ukasajiri nyingine tu.
Hiyo ndiyo Kodi ya uzalendo aliyoipigia kelele mbunge Zungu na kukubaliwa na waziri Mwigulu.
Tuna mali chungu nzima;-
-madini ya kila aina,
-gesi za kila aina, mpk Helium, .
-wanyama pori,
-mbuga za wanyama,
-misitu,
-bahari, .
-bandari,
-mafuta,
-makaa ya mawe,
-mlima mrefu kuliko yote Afrika
Yoote haya yameshindwa kuwa vyanzo bora vya kodi hadi wanakuja kuchukua Kodi ya laini? Tena sh 100/= kwa siku??!!!
Kweli kabisa, tatizo linakuja kwa serikali kujenga ' confidence' Kwa walipa kodi kuwa na moyo wa kulipa zaidi, watakavyo ona matumizi mazuri/ faida zinazopatikana kutokana na kodi yao. Sio kuona matumizi mabovu na mengine yasio ya lazima kwa pesa zao... mfano wa kama hilo jengo la BOT lilifunguliwa lilijumuisha mpaka na 'Ghym ya mazoezi' sijui kwa wafanyakazi, ambao kiuhalisia kulingana na mishahara yao mizuri, bado walikuwa na uwezo wa kutumia Ghym nyingine tu za kawaida na pia kuongeza mapato sekta binafsi.... nafikiri project zetu kwa nchi maskini' zijikite zaidi kuhakikisha' Value for money' and not for ' prestige'....Wala kodi wanalipa hiyo percentage lakini sii u aona walivyo fanya nchini mwao...hela inatumika ipasavyo. Elimu bure mpaka chuo kikuu. Health care ya ukweli, barabara za ukweli.
Tatizo sio kulipa kodi tatizo hiyo hela inatumikaje
Ikikusanywa tu pale wizara ya fedha wanaigawana chini ya kiongozi wao Mwigulu, na hakuna cha kuwafanyaWala kodi wanalipa hiyo percentage lakini sii u aona walivyo fanya nchini mwao...hela inatumika ipasavyo. Elimu bure mpaka chuo kikuu. Health care ya ukweli, barabara za ukweli.
Tatizo sio kulipa kodi tatizo hiyo hela inatumikaje
Tatizo wenye mamlaka hawajali watu wa hali ya chini, ndio maana sehemu zao za kazi wanaweka na viburudisho vyao kana kwamba ni jengo la stareheKweli kabisa, tatizo linakuja kwa serikali kujenga ' confidence' Kwa walipa kodi kuwa na moyo wa kulipa zaidi, watakavyo ona matumizi mazuri/ faida zinazopatikana kutokana na kodi yao. Sio kuona matumizi mabovu na mengine yasio ya lazima kwa pesa zao... mfano wa kama hilo jengo la BOT lilifunguliwa lilijumuisha mpaka na 'Ghym ya mazoezi' sijui kwa wafanyakazi, ambao kiuhalisia kulingana na mishahara yao mizuri, bado walikuwa na uwezo wa kutumia Ghym nyingine tu za kawaida na pia kuongeza mapato sekta binafsi.... nafikiri project zetu kwa nchi maskini' zijikite zaidi kuhakikisha' Value for money' and not for ' prestige'....
Kuwa ukiweka vocha ndo wanapora hiyo 100?... Au hujaweka vocha wiki wanakata hiyo 700 baada ya kuweka ka buku?Mbona imeandikwa vizuri kuwa utakatwa kutokana na unavyoweka vocha
Mtoa mada acha upotoshaji
Nisipo weka vocha kwa kwa miezi miwili inamaana nikija kuweka baada ya hiyo 2 months watakata tsh 100 *60 days?Mapendekezo ya bajeti ya 2021/2022 ni kwamba moja ya vyanzo vya fedha iwe ni kodi ya laini za simu.
Kila laini ya simu kwa mujibu wa mapendekezo yaliyosomwa na waziri wa fedha itakatwa kati ya Tshs 10/= mpk Tshs 100/= kwa kila siku. Bila kusahau VAT na makato mengine yaliyokuwepo yataendelea.
Yaani wabunge ndiyo wataamuua iwe kiasi gani. Wakiamua tukatwe Tshs 10/= sawa wakiamua Tshs 80/= sawa ama wakiamua Tshs 100/= sawa. Kwa kifupi ni kwamba wabunge watapendekeza kiwango cha kutoza kisichopungua Tshs 10/= lkn pia hakitazidi Tshs 100/=.
Kwa kika siku, haijalishi mtumiaji anaumwa, yuko mahabusu, yuko labour, anauguza ama hatumii hiyo laini atakatwa hicho kiasi.
Ukiweka buku, kabla hujapiga ama hujanunua kifurushi wanakata Tshs 100 yao bila kusahau VAT. Kama hujakatwa kwa muda wa wiki 2 kwasabb hujatumia laini kwa wiki hizo 2 na laini ilikuwa haina kifurush chochote Wala mobile money, basi ukiweka buku yote wanachukuwa na bado unakuwa na deni la Tshs 400/= pamoja na VAT.
Maana yake kwa kutotumia laini wiki 2 (siku 14) unakuwa na deni la Tshs 100/= × 14 = 1,400/=.
Usipoitumia laini kwa wiki 3 ni bora ukasajiri nyingine tu.
Hiyo ndiyo Kodi ya uzalendo aliyoipigia kelele mbunge Zungu na kukubaliwa na waziri Mwigulu.
Tuna mali chungu nzima;-
-madini ya kila aina,
-gesi za kila aina, mpk Helium, .
-wanyama pori,
-mbuga za wanyama,
-misitu,
-bahari, .
-bandari,
-mafuta,
-makaa ya mawe,
-mlima mrefu kuliko yote Afrika
Yoote haya yameshindwa kuwa vyanzo bora vya kodi hadi wanakuja kuchukua Kodi ya laini? Tena sh 100/= kwa siku??!!!
Ndio maana yakeKuwa ukiweka vocha ndo wanapora hiyo 100?... Au hujaweka vocha wiki wanakata hiyo 700 baada ya kuweka ka buku?
Ndiyo maana yake mkuu. Ongeza na VATNisipo weka vocha kwa kwa miezi miwili inamaana nikija kuweka baada ya hiyo 2 months watakata tsh 100 *60 days?
Ni kipya lkn siyo chanzo BORA. Ni chanzo kandamizi kwa wananchi.Hiki ndio CHANZO KIPYA BROO.
Naam! Habari ndiyo mkuuKuwa ukiweka vocha ndo wanapora hiyo 100?... Au hujaweka vocha wiki wanakata hiyo 700 baada ya kuweka ka buku?
Watachukuwa kila pahala mkuu ili wapate sh 100 yao. Siyo lazima kwenye muda wa maongeziTusioweka salio vipi
Labda wakate kwenye MPESA
Wao wanaita kodi ya kizalendoHuu ni uporaji na siyo kodi hii!