Sio mzoefu wa biashara hii ya bajaji,dereva alivyomsumbua tuu kuleta hesabu kama walivyokubaliana,akakata tamaa kabisa na biashara kaamua auze tuubiashara mbaya au sio mzooefu wa biashara kama coaster zimepunguzwa hesabu!corona sio poa
hiyo biashara ya vyombo vya moto msimu huu wa corona ni mbaya sana ila kwa hiyo offer itauzika tvs ni mpango mzima ikiwa mpaka mwezi wa 8 naweza nikaichukua nije niipige sticker music system huku chuka alafu nitupe pale shivaz na trip a lazima ilipe.Sio mzoefu wa biashara hii ya bajaji,dereva alivyomsumbua tuu kuleta hesabu kama walivyokubaliana,akakata tamaa kabisa na biashara kaamua auze tuu
Madereva tuu ndo pasua kichwahiyo biashara ya vyombo vya moto msimu huu wa corona ni mbaya sana ila kwa hiyo offer itauzika tvs ni mpango mzima ikiwa mpaka mwezi wa 8 naweza nikaichukua nije niipige sticker music system huku chuka alafu nitupe pale shivaz na trip a lazima ilipe.
Kwa ushauri Dar ukipakia mwenge to Mbezi Luisi pesa ipo nishapiga sana hiyo issu alafu mwenge ni junction ya kazi kuliko popote kwa Dar ukiwa na bajaj!ila uzofu wa kazi ukiondoa usharo huyo dereva boya tu
4.5 tumalize biasharaipo Dar Mbezi mwisho
huyo dereva dini gani?Hesabu ilikuwa ya kawaida,dereva alikuwa haishiwi sababu mara kavamiwa kaibiwa hela
Hawa walishindwana kwasababu dereva alikuwa anakula hesabu sio kwamba alikuwa hapati hesabuShule zote zikifunguliwa hali itakuwa shwari.
Ni kweli madereva wengi wa vyombo vya usafiri wanalalamika ugumu wa kupata fedha hivyo mabosi wastaarabu wamewapunguzia kiwango cha kipande hadi shule zitakapofunguliwa.