Kwa Bajaj ni maumivu maana hata mjini hawaruhusiwi kuingiaSasa si bora muwateme hao uber, it doesnt make sense. Kama kwa siku unaweza kusave hata elfu 10 usipokuwa uber na hio iwe mbali na matumizi ni kiwango kizuri. Kwa mwezi ni laki 3!
Uber ni Magari maalumu ya kusafirisha Mizigo kwa hapa Dar, Mizigo hiyo ni sambamba na Binadamu.Uber ndo nini tueleweshwe wa ambao hatuongozwi na Makonda
Uber Poa (Bajaj au UberX (gari)? Bila shaka alisonyaKwani ni mkataba wa maisha?Wakiona haiwalipi waachane nayo
Juzi kuna jamaa kanibeba kutoka UBT hadi Mwalimu House pale Ilala ikamsomea 3000.
Tuko kwenye ubepari hakuna aliyelazimishwa kujiunga UberPia uelewa wa madereva bajaj ni wa kutia shaka. Zero brain
Ulijiongeza kujua bei ya hiyo bajaj na mafuta india ni kiasi gani na TZ kiasi gani?Nliwahi kuishi bangarole, mpaka dereva wa auto (huku tunaziita bajaj) unamhurumia, mtu unatembea umbaliwa kama dar kibaha then unalipa 7000 tu.ambayo ni rupee 200-230
aiseee hahaaaaKaingiza - 30,000
Uber(25%) - 7,500
Bakiwa - 22,500
Boss - 15,000
Bakiwa - 7,500
(assuming mafuta umeweka) kweli akili kunywele!.