BAHIMA Empire na uchaguzi butu 2020

BAHIMA Empire na uchaguzi butu 2020

Nimeshakwambia kama unataka kwenda huko huwezi kumuondoa Nyerere kwenye hiyo equation.
Kagame, Museveni na Nyerere hiyo triangle huikwepi na wote hawa watatu wana asili ya Unyarwanda, hivyo genocide ya Rwanda Kagame, Museveni na Nyerere wanajuana + Wazungu of course!

Isitoshe kwa kukusaidia tu Rwanda haina Makabila 2 bali ni Kabila moja tu linaloongea Lugha moja ya Kinyarwanda!
Rwanda kuna watusi na wahutu asilimia kubwa ya ethnicity ya huko rwanda ni wahutu...labda kama nao wanaongea kinyarwanda, vivyo hivyo burundi asilimia kubwa ni wahutu ila wanyarwanda nao pia wapo ila burundi wanaongea kirundi sasa sijawahifatilia kama kirundi na kinyarwanda kinafanana au hakifanani
 
Hivi unaelewa Mpaka asubuhi hii ni kosa la jinai nchini Rwanda kujiita Mhutu au Tutsi!!!!!!! Unaelewa maana ya kuwekwa hii adhabu kwa kujiita hivyo????? Nenda kaw
unanukuu ndoto Ya Huyu hima Ya kufuta kabila?
duniani kote watu wanamakabila, yeye kwakuwa ndoto yake ni kufuta wahutu kwenye uso wa dunia anaanzisha Sheria kabisa nawe unamuunga mkono!!!?
 
hamna lugha ya kihutu kuna wahutu wanaoongea kirundi na wanaoongea kinyarwanda na watusi wanaoongea kirundi na kinyarwanda kama lugha mama.....hio laki tisa ushaikosa mshana
Lugha moja katika nchi moja lakini ni jamii mbili tofauti kabisa kwa wajihi mwonekano na kazi zao, Wahutu ambao ni wakulima na watutsi ambao ni wafugaji
eight-stages-ofgenocideandpreventinggenocidebygregorystantongenocidewatchmay2008-4-728.jpg

hamna lugha ya kihutu kuna wahutu wanaoongea kirundi na wanaoongea kinyarwanda na watusi wanaoongea kirundi na kinyarwanda kama lugha mama.....hio laki tisa ushaikosa mshana
 
Swala la hao mapandikizi wapo kila mahali, hukusikia Jeshini kuna Mnyarwanda alikimbia alikuwa kitengo cha IT
Huyu sijui aliishia wapi

La pili wakati wa mvutano wa Jakaya na Kagame, Kagame aliuambia Ulimwengu kwamba "atamtandika Jk na asijue amepigwa na nini "
Kauli hii ilitosha kabisa sisi kama nchi tuchukue tahadhari na pia sio tahadhari tu hatua madhubuti kabisa
Kauli hiyo maana yake ni kwamba Kagame ana uwezo wa ku penetrate security barriers na kuingia Ikulu yetu kumfanya chochote rais wetu
Maana yake ni moja tu ana watu wake kwenye system yetu na tupo uchi kwake
Sijui wahusika walichukua hatua gani maana mambo haya hayawekwi kwenye public domain ni classified
Pamoja na ombwe la uongozi tulio nao bado naamini Tanzania yetu ina watu makini ambao hawata ruhusu hayo ya Bahima empire kunawiri ila nina mashaka makubwa sana kwa sababu wazalendo wa nchi hii tunaaminishwa ndio wasaliti na wakiongea wazee wana washwashwa sijui tunaelekea wapi

Mungu ibariki Tanzania
tumshauri raisi wetu aanze kutoka sasa, aende marekani akajifunze, kuna wazir mkuu mstaafu alikaa madarakani kama PM kwa miaka 10 bila kujua kwann tz ni mskini mpaka alipoenda marekani kusoma!.
Ununuzi wa ndege tume desa RWANDA
System ya ukusanyaji mapato tumedesa RWANDA
Na tushawahi ambiwa wataletwa wataalam wa IT toka rwanda

Nadhani raisi wetu role-model yake iwe Marekani na sio RWANDA. RWANDA ni nchi maskini sana, yenye ubaguzi wa hali ya juu, haina demokrasia ya kweli, hawana rasilimali na haiko complex kama TZ. Kuongoza ka nchi cha RWANDA hata mtoto mdogo anaweza.
 
Swala la hao mapandikizi wapo kila mahali, hukusikia Jeshini kuna Mnyarwanda alikimbia alikuwa kitengo cha IT
Huyu sijui aliishia wapi

La pili wakati wa mvutano wa Jakaya na Kagame, Kagame aliuambia Ulimwengu kwamba "atamtandika Jk na asijue amepigwa na nini "
Kauli hii ilitosha kabisa sisi kama nchi tuchukue tahadhari na pia sio tahadhari tu hatua madhubuti kabisa
Kauli hiyo maana yake ni kwamba Kagame ana uwezo wa ku penetrate security barriers na kuingia Ikulu yetu kumfanya chochote rais wetu
Maana yake ni moja tu ana watu wake kwenye system yetu na tupo uchi kwake
Sijui wahusika walichukua hatua gani maana mambo haya hayawekwi kwenye public domain ni classified
Pamoja na ombwe la uongozi tulio nao bado naamini Tanzania yetu ina watu makini ambao hawata ruhusu hayo ya Bahima empire kunawiri ila nina mashaka makubwa sana kwa sababu wazalendo wa nchi hii tunaaminishwa ndio wasaliti na wakiongea wazee wana washwashwa sijui tunaelekea wapi

Mungu ibariki Tanzania
Kwani kiongozi wetu wa juu kabisa anatokea mkoa gani? Alipokuwa Wilayani Kakonko alisema yeye ni wa asili ya pale, nani anafahamu historia yake ya ukweli? Kuna wakati alisema yeye ni mzirankende, sasa huoni ni wa Hima?
 
Sio tu hivyo Zenjibaria bali pia wapinzani wawekeze nguvu kwenye kupata wabunge wengi na si ufalme. Maana wakishakuwa wengi bungeni wanaweza mfukuza mfalme wakitaka!
 
Nikikuita wewe ni kilaz.a Wa kiwango cha lami utakataa!??? Acha niwaachie wangwana wakukosoe.

Nakuomba uwe unafuatilia mambo kiundani kabla ya kuweka mada isiyokuwa na vigezo na ubora kwa kuwa na taarifa nusu nusu.

Kwa Ufupi Duniani Hakuna Lugha inayoitwa Hutu.



[HASHTAG]#BackToBoooksMovement[/HASHTAG]
Twende mdogo mdogo huu ni mjadala huru, niite utakavyo kisha rudi tubishane kwa hoja... MHUNZI kamwe hawezi kuwa msusi hata kama ni wa taifa moja hivyo hivyo Mhutu hawezi kuwa Mtutsi
 
Kwani hakuna wamasai wakulima ??? Unadhani wamasai wote ni wafugaji .. Hahahaha rudi shule
[emoji15] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] ukulima in which sense! Jesus Christ on the cross, kulima hekari mbili tatu? Angalia asili ya kitu ndugu yangu
 
unanukuu ndoto Ya Huyu hima Ya kufuta kabila?
duniani kote watu wanamakabila, yeye kwakuwa ndoto yake ni kufuta wahutu kwenye uso wa dunia anaanzisha Sheria kabisa nawe unamuunga mkono!!!?
Sio kufuta mhutu, hataki kumuona mbantu akishika hatamu(Kabila baba alikuwa Mhutu?).
 
Unaanzisha mada ukiwa less informed , siku nyingine jitahid kuwa na taarifa za kutosha kwa mada uanzishazo...


Hivi unaelewa Mpaka asubuhi hii ni kosa la jinai nchini Rwanda kujiita Mhutu au Tutsi!!!!!!! Unaelewa maana ya kuwekwa hii adhabu kwa kujiita hivyo????? Nenda kawaulize wanaojua kinagaubaga masuala haya.

Unadhani inawezekana kufuta kabila??? Haiwezekani. Hutu sio kabila kwa sababu duniani hakuna lugha inayoitwa kihutu.

View attachment 594568


Hayo ni maneno tu....kama ilivyo ethiopia mema ya nchi na mabiashara yote makubwa ni ya jamii ya watigirinya...hivyo hivyo rwanda.....ukija kwa mu7 hawa pia ndio wanajiita watoto wa mjini kati (central) na wamewatenga mbaya wenzao.....japo kwa nje na majukwaani mnaaminishwa tofauti.....kwa sasa hii ni trelaa picha lenyewe linakuja liko njiani..by the way biashara yako inaendelea vipi?
 
Usijtie ujinga ndugu yangu, hayo yamekuja baada ya mauaji ya kimbari mwaka 1994! Na uchonganishi waliochochewa hata wakauana kwa malaki hakuondoi ukweli kuwa kuna WATUTSI NA WAHUTU
Mimi ni Mtanzania mwenye asili ya Rwanda nimezaliwa moja wapo ya wilaya za mpakani.
Lakini ninachoona katika inchi yetu ni hatari Warundi na Wanyarwanda wametapakaa kila Mahali,
Ukabila wa Hutu na Tutsi hauwezi kuisha kabisa , hawa ni binadam wawili tofauti hata kwa mwonekano na matendo yao.
Viongozi walio tangulia walipandikiza hiyo mbegu kamwe haiwezi kuisha
 
Rwanda kuna watusi na wahutu asilimia kubwa ya ethnicity ya huko rwanda ni wahutu...labda kama nao wanaongea kinyarwanda, vivyo hivyo burundi asilimia kubwa ni wahutu ila wanyarwanda nao pia wapo ila burundi wanaongea kirundi sasa sijawahifatilia kama kirundi na kinyarwanda kinafanana au hakifanani
Kirundi na Kinyarwanda kwa asilimia 70 kinafanana
 
Mimi ni Mtanzania mwenye asili ya Rwanda nimezaliwa moja wapo ya wilaya za mpakani.
Lakini ninachoona katika inchi yetu ni hatari Warundi na Wanyarwanda wametapakaa kila Mahali,
Ukabila wa Hutu na Tutsi hauwezi kuisha kabisa , hawa ni binadam wawili tofauti hata kwa mwonekano na matendo yao.
Viongozi walio tangulia walipandikiza hiyo mbegu kamwe haiwezi kuisha
Utakuwa umetokea Manyovu Kigoma au Ngara ,
 
Back
Top Bottom