Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

Hii ni hatari... ila bahati bukuku hii ngoma kabugi kabisa..... lowasa ndo Mungu wake shit....
 
Nilimwamini huyu mama ila sasa CD zake nazichoma moto tunadhani tunasikiliza nyimbo za Mungu kumbe wamejaa mapepo
 
Mkuu naona umeuzwa sana,mbona wewe ni mfuasi wa Gr.Slaa ambae ni padre mstaafu lakini hatuchukii? Mwache mtumishi wangu aoneshe mapenzi yake kwa mtu ambae maono yake yanaona anafaa kuliko wa kwako.Mimi namuunga Mkono Bahati Bukuku na aendeleee kumtungia nyimbo nyingi ili wenye chuki kama wewe muendelee kuumia na mtashindwa tu.

Kwanza ni kuweke sawa, Mimi sina chuki na mtutu yoyote yule na siwezi mchukia Lowasa kwa kuwa sio rank wala rika langu dhambi zake na zangu sio sawa, mimi sipendi kudhulumu wala kufisadi cha mtu. Sasa nitamchukiaje mtu ambaye haturandani nae?

Na ukumbuke hayo maneno kwenye hiyo post siyo yangu ni ya
Malisa Godlisten ila mimi nimeyapa uzito kwakuwa nimeona kuna haja ya kufanya hivyo.

Elewa Bahati Bukuku alikuwa akimwimbia na kumsifu Mungu, leo amegeuka na kuanza kumwimbia na kumsifu binadamu. Huoni kuwa hapo kuna dalilio zote za bahasha kupita?
 
Nilimwamini huyu mama ila sasa CD zake nazichoma moto tunadhani tunasikiliza nyimbo za Mungu kumbe wamejaa mapepo

Ata mimi imeniuma sana ni bora angejiuzulu kuwa mwimba gospel na kutangaza rasmi kuwa yeye ndiye mrisi rasmi wa Capten Komba R.I.P
 
ACHA WIFU WAKO wewe kila MTU ana haki ya kuimbwa akipenda / hata akina papa msofe waliimnwa pia acha! acha! acha hiyo WiFi
k.ke.
 
Huyu mama ndiyo maana miguu yake kama stick tu huwezi kutumika kijinga hivyo halafu unajiita unamwimbia bwana kwahiyo Lowasa ndiyo bwana wake.
 
Kuimba kwa Bahati Bukuku ni sehemu ya kumtukuza Mungu lakini pia ni kazi. Kama mtu kamuajili kumtungia wimbo wa kampeni na kumpa fedha ulitaka atunge wimbo wa kumtukana kwa vile tu unamchukia Lowasa? Kwa habari ya udini si kweli maana tumeshuhudia Wachungaji na mashekhe wakienda kwa Lowasa kumuomba atie nia Sijui wewe ulikuwa wapi! Kwa chuki hii mtasababisha Mungu anampa Lowasa urais hata kama hastahili! Bukuku huu ni mwaka wa kupiga hela.
 
Mkuu naona umeuzwa sana,mbona wewe ni mfuasi wa Gr.Slaa ambae ni padre mstaafu lakini hatuchukii? Mwache mtumishi wangu aoneshe mapenzi yake kwa mtu ambae maono yake yanaona anafaa kuliko wa kwako.Mimi namuunga Mkono Bahati Bukuku na aendeleee kumtungia nyimbo nyingi ili wenye chuki kama wewe muendelee kuumia na mtashindwa tu.

Jibu hizo hoja kumi za Malisa nyau wewe!!

Mungu alishasema hatatokea mtu mwenye hekima kama mfalme Suleiman, wewe unakuja kusapoti ujinga!?
 
Kwanza ni kuweke sawa, Mimi sina chuki na mtutu yoyote yule na siwezi mchukia Lowasa kwa kuwa sio rank wala rika langu dhambi zake na zangu sio sawa, mimi sipendi kudhulumu wala kufisadi cha mtu. Sasa nitamchukiaje mtu ambaye haturandani nae?

Na ukumbuke hayo maneno kwenye hiyo post siyo yangu ni ya
Malisa Godlisten ila mimi nimeyapa uzito kwakuwa nimeona kuna haja ya kufanya hivyo.

Elewa Bahati Bukuku alikuwa akimwimbia na kumsifu Mungu, leo amegeuka na kuanza kumwimbia na kumsifu binadamu. Huoni kuwa hapo kuna dalilio zote za bahasha kupita?

hizo zote ni tamaa za mkwanja na ni hila za Lowasa anazoziendeleza kwa jamii ili aonekane anakubalika zaidi..

Alianza kuwalaghai wakuu wa mikoa na wilaya na wakurugenzi wao,

waislamu,

wakafatiwa na wakristo, vyuo vikuu,sasa yupo kwaimbaji wa injili.
Baada ya hapo utasikia kaswida ya kumpamba lowasa..............
Je, gharama zote atajareshewa na nani kama sio kuendeleza ufisadi ili kufidia fedha alizohonga makundi mbalimbali?????
Mh.................
 
Bukuku ana haki ya kumpamba ampendaye, acheni udikteta.
 
Kuna tofauti ya kusifu na kuabudu. Alichokifanya Bukuku ni kusifia mtu kwa mazuri anayoyaona kwake jambo ambalo ni la kawaida. Angemwabudu na kusema yeye ndiye Mungu Hilo haswa ni dhambi! Mambo mengine ni wivu tu halafu huyo malisa kwamba amesema yeye sio Mungu.
 
Kuimba kwa Bahati Bukuku ni sehemu ya kumtukuza Mungu lakini pia ni kazi. Kama mtu kamuajili kumtungia wimbo wa kampeni na kumpa fedha ulitaka atunge wimbo wa kumtukana kwa vile tu unamchukia Lowasa? Kwa habari ya udini si kweli maana tumeshuhudia Wachungaji na mashekhe wakienda kwa Lowasa kumuomba atie nia Sijui wewe ulikuwa wapi! Kwa chuki hii mtasababisha Mungu anampa Lowasa urais hata kama hastahili! Bukuku huu ni mwaka wa kupiga hela.

3. Bukuku anasema Lowassa ana hekima kama Suleimani. Hii ni kufuru kubwa kwa Mungu. Maandiko yanasema hakuwahi kutokea mtu mwenye hekima kama Suleimani na hatatokea. Sasa Bukuku kamtoa wapi Lowassa? Ina maana Bukuku ana akili kuliko Mungu aliyeruhusu maandiko hayo?
4. Bukuku anasema Lowassa amepakwa mafuta kama Daudi. Maandiko yanasema Daudi alikuwa Mteule wa Mungu na alipakwa mafuta na Kuhani mkuu Samuel. Kujaribu kumfananisha Lowassa na Daudi ni makosa makubwa. Ni Kuhani gani amempaka mafuta Lowassa? Labda Kuhani Yusuph Makamba.. Na alimpaka mafuta gani? Ya Alizeti au Baby Care.


Kuna tofauti ya kusifu na kuabudu. Alichokifanya Bukuku ni kusifia mtu kwa mazuri anayoyaona kwake jambo ambalo ni la kawaida. Angemwabudu na kusema yeye ndiye Mungu Hilo haswa ni dhambi! Mambo mengine ni wivu tu halafu huyo malisa kwamba amesema yeye sio Mungu.

Ungetueleza kwanza wewe ni Tim ipi? Bukuku au Lowasa?

Maana unaonekana umekereka sana.
 
Back
Top Bottom