Njaa mbaya sana.anajipendekeza ili akumbukwe kwenye ufalme wa mamvi.ambacho hajagunduwa ni kwamba lowasa kamwe hawezi kuja kuwa kiongozi wa taifa hili.
Huyu Bukuku anajua kama Lowasa angekuwa Rais TZingeshapigana na Malawi?huyuLowasa na amani ni maji na mafuta. Jk kwa busara tu mzozo uliokuwepo kama sio kwisha unaelekea kwisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.