Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

Na hamu nikasikie hako kanyimbooo mwenye nacho basi
 
Na hamu nikasikie hako kanyimbooo mwenye nacho basi
Ndugu yangu, nyimbo ni uwingi hivyo unapaswa kuandika kawimbo, sio kanyimbo.

Kwa jinsi inavyoonekana anao baadhi ya maadui wanaowinda roho yake walimwibia na kuurusha kwenye mitandao ya kijamii.
 
makwetu;

Bado hujatuweka sasa tukupate vizuri,Huyu amejitambulisha Kuwa ni Mtumishi wa Mungu sawa?

Maana ya utumishi wa Mungu ni kumtumikia Mungu yaweza kwa uinjilisti uchungaji,upadre, kanisani na hat a kumuimbia Bwana sawa?

Soma maandiko kuhusu sifa za wapakwa mafuta wa Bwana, je kumuweka Lowassa katika kundi la watakatifu kwako unaona sasa? Tens na MTU aliyejitoa kumtumikia Bwana?

Hata ukimsafisha hasafishiki,huyo mpakwa mafuta wake hasafishiki,kaamua kumtumikia shetani,period
 
Last edited by a moderator:
Nyimbo za Lowassa zipo nyingi subiri soon zitatoka
 
Bintiwangara;

Duh! yaani kutuimbia nyimbo za injili kote,kumbe yupo hivyo amakweli moyo wa mtu ni kiza kinene.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu, nyimbo ni uwingi hivyo unapaswa kuandika kawimbo, sio kanyimbo.

Kwa jinsi inavyoonekana anao baadhi ya maadui wanaowinda roho yake walimwibia na kuurusha kwenye mitandao ya kijamii.

Asante kwa kunirekebisha ....kwan huo wimbo aliutunga asikilize mwenyewe
 
Siku hizi hakuna hata tasisi za dini zimegeuka kuwa siasa hakuna kitu kipya hapo mkuu@Rawaseni
 
kila mtu ana uhuru wa kupenda na kushabikia chama au kiongozi anayetaka ili mradi havunji sheria tuache kulazimishana kuamini unachoamini kuwa ndiyo suruhisho la matatizo yetu
 
Mungu mbariki Lowasa ili wenye chuki nae wajiangamize wenyewe kwa wenyewe
 
Back
Top Bottom