Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

Bahati Bukuku kumbe ni tapeli na kibaka kama matapeli wengine tu huku watu tunajidanganya eti tunasikiliza ujumbe wa Mungu kupitia nyimbo zake kumbe Mungu mwenyewe ni Lowasa!!.Huu wimbo umeniudhi saana.Namwomba Mungu wangu aishie juu mbinguni asikae kimya kwa kufuru hii aliyoifanya huyu changudoa wa kiroho(kama ilivyotumika kwenye uzi) bali ampe fundisho kama alivyofanya kwa watangulizi wake kama Nebkadreza aliyefanywa mnyama na akala majani kwa muda wa miaka saba.
 
Lowassa anahangaika sana, lakini Kibajaj jana amesema bungeni kuwa Ikulu si ward ya wagonjwa!
 
Malisa, Waislam uwa hawana utaratibu wa kutungiwa nyimbo usitake kufananisha vitu ambavyo avifanani.

Alichofanya huyo dada kuimba imani yake inamruhusu hata wewe unaweza kumjibu kwa kuimba kumsifia yeyote.

Wala hapo hamna udini hakuna Muislam ambaye analalamika mgombea urais akitungiwa nyimbo za kwaya huyu dada siyo wa kwanza marehemu Komba kawatungia wengi tu nyimbo za kwaya ulikiwa wapi kulalamika.
 
Kwanza ni kuweke sawa, Mimi sina chuki na mtutu yoyote yule na siwezi mchukia Lowasa kwa kuwa sio rank wala rika langu dhambi zake na zangu sio sawa, mimi sipendi kudhulumu wala kufisadi cha mtu. Sasa nitamchukiaje mtu ambaye haturandani nae?

Na ukumbuke hayo maneno kwenye hiyo post siyo yangu ni ya
Malisa Godlisten ila mimi nimeyapa uzito kwakuwa nimeona kuna haja ya kufanya hivyo.

Elewa Bahati Bukuku alikuwa akimwimbia na kumsifu Mungu, leo amegeuka na kuanza kumwimbia na kumsifu binadamu. Huoni kuwa hapo kuna dalilio zote za bahasha kupita?


Lowasa ndo mungu wake!Si ndo maana anamwimbia na kumsifu? We hujaelewa tu Ndugu?
 
Kuzuia mafuriko kwa mikono haiwezekani...mwacheni Lowassa ang'ae.Mwisho wa siku wananchi tutapima.
 
Mh mdogo wangu Malisa huoni una mzidishia dose Bahati Bukuku she is a numbskull!
 
Mkuu naona umeuzwa sana,mbona wewe ni mfuasi wa Gr.Slaa ambae ni padre mstaafu lakini hatuchukii? Mwache mtumishi wangu aoneshe mapenzi yake kwa mtu ambae maono yake yanaona anafaa kuliko wa kwako.Mimi namuunga Mkono Bahati Bukuku na aendeleee kumtungia nyimbo nyingi ili wenye chuki kama wewe muendelee kuumia na mtashindwa tu.
mpuuzimwewe umeshapewa mlungula na Lowasa ndo maana unatetea upuuzi humu, wewe na bukuku njaa zenu zitawaua mwaka huu.
 
Malisa, Waislam uwa hawana utaratibu wa kutungiwa nyimbo usitake kufananisha vitu ambavyo avifanani.

Alichofanya huyo dada kuimba imani yake inamruhusu hata wewe unaweza kumjibu kwa kuimba kumsifia yeyote.

Wala hapo hamna udini hakuna Muislam ambaye analalamika mgombea urais akitungiwa nyimbo za kwaya huyu dada siyo wa kwanza marehemu Komba kawatungia wengi tu nyimbo za kwaya ulikiwa wapi kulalamika.

6. Kumpigia debe mgombea ni kuwagawa waumini. Kuna wafuasi wa Bahati Bukuku hawamkubali Lowassa, sasa haoni anawakwaza?

7. Pia Kuna wafuasi wa Lowassa si Wakristo. Wengine ni waislamu na wengine hawana dini. Sasa Bukuku haoni anawakwaza kwa wimbo wake?


8. Wimbo huu unaibua chuki za kidini na kuonekana Lowassa yupo kwa ajili ya wakristo tu. Kama Lowassa anawapenda pia Waislamu mbona hatujasikia akiimbiwa "Kaswida"? Kumuimbia "mapambio" tu ni ishara ya kuwatenga waislamu na kuwaonesha kuwa Lowassa si mtu wao.

9. Wimbo huu unajenga ushawishi upande mmoja tu wa wakristo. Mbona Waislamu hawakuguswa na wimbo huu? Hivi unawezaje kumshawishi Muumini safi wa kiislamu amkubali Lowassa kwa kusikiliza Pambio??

NB:
Soma post elewa post
 
Bahati Bukuku kumbe ni tapeli na kibaka kama matapeli wengine tu huku watu tunajidanganya eti tunasikiliza ujumbe wa Mungu kupitia nyimbo zake kumbe Mungu mwenyewe ni Lowasa!!.Huu wimbo umeniudhi saana.Namwomba Mungu wangu aishie juu mbinguni asikae kimya kwa kufuru hii aliyoifanya huyu changudoa wa kiroho(kama ilivyotumika kwenye uzi) bali ampe fundisho kama alivyofanya kwa watangulizi wake kama Nebkadreza aliyefanywa mnyama na akala majani kwa muda wa miaka saba.

Mungu hujitetea mwenyewe,mwanadamu ni nani hata umtetee?
 
Mzee Mamvi atakuwa amepakwa mafuta ya mukwano au yale mafuta ya kwenye kondomu.
 
Kwani nchi hii ukitaka kuimba wimbo wako kumsifia mtu unatakiwa ukaombe ruhusa mbona alopimuimbia mungu hamjasema? Acheni uzuzu
 
Tangu juzi jniliposikia wimbo wa bahati bukuku nimetupa cd zote zenye nyimba za bahati bukuku. sitaki hata kusikia.
 
Nadhani hapa tatizo siyo Lowasa kutungiwa wimbo bali kiimani amefanya kufuru dhidi ya imani yake. Angeweza kumpamba vyovyote atakavyo lakini asiitumie biblia kupotosha mafundisho ya Mungu.

Kamwe hakuna mwanadamu wa sasa na wengine ambao watakuja ambaye hekima yake itamfikia mfalme Sulemani (Haya ni maneno ya Mungu). Mkristo yeyote mwenye imani na aliyesimama katika ukristo alistahili kulitambua hili. Kumlinganisha Lowasa na Mfalme Sulemani ni kuikejeli imani yenyewe.

Malisa, Waislam uwa hawana utaratibu wa kutungiwa nyimbo usitake kufananisha vitu ambavyo avifanani.

Alichofanya huyo dada kuimba imani yake inamruhusu hata wewe unaweza kumjibu kwa kuimba kumsifia yeyote.

Wala hapo hamna udini hakuna Muislam ambaye analalamika mgombea urais akitungiwa nyimbo za kwaya huyu dada siyo wa kwanza marehemu Komba kawatungia wengi tu nyimbo za kwaya ulikiwa wapi kulalamika.
 
Back
Top Bottom