Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,108
- 41,776
Nashangaaa!!We ndio zeroooo, kwani aliyekupa haki ya kumnanga Bahati Bukuku nani??
Nashangaaa!!We ndio zeroooo, kwani aliyekupa haki ya kumnanga Bahati Bukuku nani??
Si neno zuri lakini pale unapona dhihaka dhidi ya ukuu wa Mungu ukifanywa na Mtumishiwa Mungu basi si haba kufikisha ujumbe kama huu...kwa kuwa alisema Upole kiasi.Nimependa hii "changudoa wa kiroho"
![]()
3. Bukuku anasema Lowassa ana hekima kama Suleimani. Hii ni kufuru kubwa kwa Mungu. Maandiko yanasema hakuwahi kutokea mtu mwenye hekima kama Suleimani na hatatokea. Sasa Bukuku kamtoa wapi Lowassa? Ina maana Bukuku ana akili kuliko Mungu aliyeruhusu maandiko hayo?
4. Bukuku anasema Lowassa amepakwa mafuta kama Daudi. Maandiko yanasema Daudi alikuwa Mteule wa Mungu na alipakwa mafuta na Kuhani mkuu Samuel. Kujaribu kumfananisha Lowassa na Daudi ni makosa makubwa. Ni Kuhani gani amempaka mafuta Lowassa? Labda Kuhani Yusuph Makamba.. Na alimpaka mafuta gani? Ya Alizeti au Baby Care.!
haya aliyoyaimba bahati bukuku hayana tofauti na machangudoa,yes ni kweli na mimi nakubaliana kabisa kuwa neno la bwana ni taa yeti lakini kwa huyu mwanamke ni changudoa na msaaliti mithili ya yuda eskalioti....kuimba kwa bahati bukuku ni sehemu ya kumtukuza mungu lakini pia ni kazi. Kama mtu kamuajili kumtungia wimbo wa kampeni na kumpa fedha ulitaka atunge wimbo wa kumtukana kwa vile tu unamchukia lowasa? Kwa habari ya udini si kweli maana tumeshuhudia wachungaji na mashekhe wakienda kwa lowasa kumuomba atie nia sijui wewe ulikuwa wapi! Kwa chuki hii mtasababisha mungu anampa lowasa urais hata kama hastahili! Bukuku huu ni mwaka wa kupiga hela.
Nilimwamini huyu mama ila sasa CD zake nazichoma moto tunadhani tunasikiliza nyimbo za Mungu kumbe wamejaa mapepo
mleta mada aache wehu angemsfia Josephine au silaha angefurahi na kusema silaha ni mpango wa Mungu sasa nawaaambia Lowasa ni mpango wa Mungu midimu na chadema wasiojitambua kama mleta mada muda wenu wa kuchanganyikiwa umefika bado hamjajiandaa kuchukua nchi ongezeni majimbo rais ajaye ni lowasa hivi unajuaje kama roho wa Mungu amemuongoza bahati bukuku kutoa huo wimbo ....usiukumu kwa sababu umeamka asubuhi huna ch kufanya unashnda facebook......Ma Presdent is lowasa ata agombee kuptia familia yake nampa kura yangu...namuombea kura elfu moja na nampgia kampeni na nahudhuria sherehe zake za kuapishwaMkuu naona umeuzwa sana,mbona wewe ni mfuasi wa Gr.Slaa ambae ni padre mstaafu lakini hatuchukii? Mwache mtumishi wangu aoneshe mapenzi yake kwa mtu ambae maono yake yanaona anafaa kuliko wa kwako.Mimi namuunga Mkono Bahati Bukuku na aendeleee kumtungia nyimbo nyingi ili wenye chuki kama wewe muendelee kuumia na mtashindwa tu.
Hicho alichoimba Bahati Bukuku it is BLASPHEMY IN CHRISTIANITY! Yaani kweli Lowassa ni sawa na mfalme Suleiman? Kweli Lowassa ni sawa na Daudi? Sitashangaa single itakayofuata Bukuku akasema kwamba Lowassa ni ni Sawa Yesu Kiristu wa Nazarreti!
Ingekuwa ni ile dini nyingine huyu Bahati Bukuku angetaziwa FATWA!
Lakini kwa kuwa huu ni ukiristu kama Malisa alivyosema, funzo tunalopata Watanzania ni kutambua kwamba huyu Bahati Bukuku ni Changudoa wa kiroho!
Sisi Wa Afrika tuna matatizo sana, angeimbwa Dr Slaa, Kikwete au yeyote tunayempenda hungesikia maneno ya Kashfa.
Who is Sambai and Malisa any way? just a normal human beings.
Ritz, umeondoka kwa Membe na kujiunga kwa Lowasa? Unajua kucheza karata mkuu...ila kuna siku utakula Galasa!!!Malisa, Waislam uwa hawana utaratibu wa kutungiwa nyimbo usitake kufananisha vitu ambavyo avifanani.
Alichofanya huyo dada kuimba imani yake inamruhusu hata wewe unaweza kumjibu kwa kuimba kumsifia yeyote.
Wala hapo hamna udini hakuna Muislam ambaye analalamika mgombea urais akitungiwa nyimbo za kwaya huyu dada siyo wa kwanza marehemu Komba kawatungia wengi tu nyimbo za kwaya ulikiwa wapi kulalamika.
jana ulikuja na cd ya lowasa kwenda kwenye mazishi ya John nyerere baada ya kuona lowasa ndiye kiongozi wa juu aliyehudhuria na kupewa heshima kubwa kiitifaki na pia familia ya Mwalimu Nyerere leo mmekuja na CD mpya nawahakikishia lowasa anakua rais mchana kweupe na tayari mmeshasambaratka timu mdmu lakini silaha zilezile lowasa alizotumia kumuingiza kikwete ikulu ndizo hizohizo atakazoziongeza makali kuingia ikulu time will tell tupo....Team Membe ata mbinu mliyotumia kumtumia kinana na Mangula kusimamisha wagombea tunajua mlengwa ni lowasa ila mbinu yenu tuliijua kabla kwanini mnaogopa kupambana na lowasa uwanjani na mnatumia hujuma jibu ni kuwa anawazidi uwezo .....ukawa nao kwenye vikao vya siri mnamuofia lowasa mktoka mafchon mnakohoa facebook za watoto wakati mnajua lowasa ni kiboko yenuSi neno zuri lakini pale unapona dhihaka dhidi ya ukuu wa Mungu ukifanywa na Mtumishiwa Mungu basi si haba kufikisha ujumbe kama huu...kwa kuwa alisema Upole kiasi.
Inaonekana unamjua Ritz kuzidi mke wake.