josewatano
Member
- Sep 20, 2011
- 65
- 25
kuuliza si ujinga eti wadau hivi mtu mwenye shahada ya BAED anatofauti gani na yule mwenye shahada ya BED kwani naona wote wamesomea tLUUM moja msada pls
kuuliza si ujinga eti wadau hivi mtu mwenye shahada ya BAED anatofauti gani na yule mwenye shahada ya BED kwani naona wote wamesomea tLUUM moja msada pls
za wagumu ni zpi mkuu? Zile za kupasua kichwa badala ya mguu au?? Acha academic arrogance!!Wote maticha walikimbia shule zawagumu!Hawana lolote kutwa wanabishana nani zaidi!
Mkuu Ptz,
Umemaliza kila kitu, umetoa maelezo ya kina na ya kitaaluma kuonesha utofauti uliopo kati ya BAED na BED.
MAKULILO