Tetesi: Ni kweli Jakaya Kikwete anagombea uenyekiti wa kamisheni ya AU?

Lusungo

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
27,139
39,375
Ndugu habari za muda huu, naomba kuuliza kwa wadau mbali mbali na hata serikalini kama inawezekana tupewe majibu kabla sijatoa ya moyoni.

Kuna tetesi huko huko duniani nazisikia naomba uthibisho wake maana kuuliza si ujinga.

Je, ni kweli mswahili wa msoga aliyepata kuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10, mwenye mtoto Naibu waziri na mke mbunge anagombea uenyekiti wa kamisheni ya umoja wa Afrika?

Nimeuliza kwanza kabla ya kutoa maoni ili tumtendee haki.

Ahsanteni.
 
Hivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
Mkuu hii nimeuliza kwanza tusihukumu... tupate tu majibu.
 
Ndugu habari za muda huu, naomba kuuliza kwa wadau mbali mbali na hata serikalini kama inawezekana tupewe majibu kabla sijatoa ya moyoni...

Kuna tetesi huko huko duniani nazisikia naomba uthibisho wake maana kuuliza si ujinga.....

Je, Ni kweli mswahili wa msoga aliyepata kuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10, mwenye mtoto Naibu waziri na mke mbunge anagombea uenyekiti wa kamisheni ya umoja wa Afrika?

Nimeuliza kwanza kabla ya kutoa maoni ili tumtendee haki.

Ahsanteni.
binafsi sina hakika kuhusu JK.

but kiongozi wa upinzani kenya Raila Amolo Odinga imethibitika anamezea mate kurithi mikoba ya Fakii Mwenyekiti wa commission anaemaliza Muda wake 🐒

hata hivyo kwa record zake kitaifa na kimataifa,JK anafaa zaidi nadhani pengine kuliko kiongozi Mwingine mwenye nia hiyo Barani Africa kwa wakati huu 🐒
 
Kama kikwete akipita!

Operation ya pale kongo itafana sana,nadhani umenielewa mjomba!!

Kitanukishwa hadi kigali Kwa moyo!!
Wanaenda Kigali kufanya Nini? Acheni wivu wa kijinga. Kama mnapambana na waasi pambaneni nao wakiwa Congo. Mnahangaika na Rwanda ya Nini?. Kwenu Kuna shida ya sukari, Deni la nje limeongezeka, umeme shida, bima ya afya hospitali hazijalipwa etc. Ila unahangaika na kuovamia Rwanda ili update Nini?.

Wakati Banyamulenge wanamsaidia kabila miaka ya 1996 mbona hamkulalamika?. Ila Leo ndio mnalalamikia Banyamulenge. Acheni ujinga.
 
Back
Top Bottom