mozilla
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 704
- 1,003
Wadau wa masumbwi habari zenu!
Katika pita zangu humu sijaona uzi wowote wa hili pambano, nimeona nifungue uzi ili tuabarishane
Ijumaa tarehe 08 uko Riyadh kuna pambano la kukata na shoka kati ya Joshua vs Ngannou, naomba uzi huu uwe wa updates kuelekea hili pambano.
Mwenye taharifa zozote za hili pambano litaonyeshwa station gani/saa ngap kwa muda wetu Tz atueleze, na mwenye updates mbali mbali tu’share.
Katika pita zangu humu sijaona uzi wowote wa hili pambano, nimeona nifungue uzi ili tuabarishane
Ijumaa tarehe 08 uko Riyadh kuna pambano la kukata na shoka kati ya Joshua vs Ngannou, naomba uzi huu uwe wa updates kuelekea hili pambano.
Mwenye taharifa zozote za hili pambano litaonyeshwa station gani/saa ngap kwa muda wetu Tz atueleze, na mwenye updates mbali mbali tu’share.