Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 2,327
- 3,339
Iramba huwa tupo pamoja lakini kwa hii great disappointment, sikubaliani nayo, nimesikitika na kufedheheshwa kwa hili la kushindwa kusimamia vyema kusudio lililo beba mstakabali wa taifa la kidemokrasia, nafikiri hata kuacha siasa au kuhama jukwaa ngoja nitafakari kwanza. But am greatly disappointedNimepita Kwenda Social Networks Nyingi Nimegundua Haya:
a)Wana CCM Wameumia Sana Baada ya CHADEMA Kuhairisha UKUTA
b)Baadhi ya Wana CHADEMA Analojia Wamekasirishwa Na Uhairishwaji wa UKUTA!
c)Ila Wana CHADEMA Digitali Wengi Tunaopenda Siasa za Hoja Tumeipenda Hii Kete!
d)JWTZ Na Polisi Wataendelea na Usafi na Operesheni ya VIKINDU!