Interested Observer
Platinum Member
- Mar 27, 2006
- 4,818
- 7,459
October UKUTA watakuja tena Na mtindo huu, serikali itafanya Kama ilivyofanya this time, right? Then Chadema watakwepa virungu kwa kuahirisha maandamano tena. Wakati wote serikali wanapofanya move wanatumia time and money. You know that?Unaposema how much the government lost monentarily unakuwa na maana gani wakati pesa waliyotumia iko kwenye budget yao iliyopitishwa na bunge.
Inawezekana neno LOST katika muktadha huu lina maana nyingine unayoifahamu wewe ambayo haipo katika kamusi ya uchumi.
Sitaki niwabeze CHADEMA kwa uamuzi wao wa kusitisha maandamano na mikutano pamoja na kwamba walichukua jukumu ambalo lilikuwa ni kubwa zaidi ya uwezo wao kisiasa.
Ninawapongeza CHADEMA kwa uamuzi wa kusitisha oparesheni ya UKUTA.
Unasema kuna budget ambayo imehalishwa Na bunge, Ni ipi hiyo, understand that Hii ni tanzania resources are so limited!
Tuseme serikali inaacha interference Na chadema wanafanya peaceful demo, serikali wanapoteza nini??