Bado siku 17, nipo kwenye mateso wazee

Hope wote ni wazima wa afya.

Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.

Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.

Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
Ungwa u-moto Mramu!
 
Hope wote ni wazima wa afya.

Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.

Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.

Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
🤣🤣
 
Ligi ndogo nimewaachia watoto ,Mimi nacheza huku bundasiliga
Starehe tamu duniani ni ...
1. Kutafuta hela/kuwa na hela
2. Kutomban(a) sio kutomb(a) ni KUTOMBAN(A).

Yaani umpate mdada anayejua Kazi yake ya kitandani huku mfukoni una laki kadhaaa weeee Asikwambie mtu unamwaga hadi ubongo.!!!

Sio gogo kila kitu wafanya wewe mwanaume.

FaizaFoxy

#YNWA
 
Hope wote ni wazima wa afya.

Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.

Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.

Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
Subiri kifo huku unaishi kwa matumaini.

Nakushauri kuwa Muislam usije ukayakosa ya duniani na ahera.
 
Hope wote ni wazima wa afya.

Wakuu Leo siku ya kumi na Moja Toka nianze kutumia pep TLD hii nikutokana nilikula pis moja iv bermaid ambayo machale yalinicheza kuwa ina weza kuwa ina moto.

Baada ya kuwahi kituoa Cha afya within 72 hrs nikapewa pep TLD, ila wakuu nipo kwenye mateso leo siku ya kumi na Moja, dawa hizi Zina side effects mbaya sana, kuchefuchefu, mandoto mabaya yaani tabu tupu.

Hakika dozi ikiisha mm na ngono maji na moto.
Duuuuh kumbe zina mateso hivyo?
Pole sana Mkuu.
Nilikuwa nazisikia tu nikahisi ni simple km pipi ivory tu
 
Anao umempima!?
Msome tena post namba moja:

 
Kimsingi mm niliyapiga chini yakiwa yamebaki 6 baada ya wiki 2 nikapima Niko fiti, nikaachana na mambo ya kupima ila naona kilo zinaongezeka tangu nimeyapiga chini.

Side effects zake ndo zilisababisha nikapiga chini japo baadae nilimcomvise mshukiwa mpaka nikampimisha nikakuta yupo fresh nikamweleza mateso nilo yapitia kwenye hayo madawa.

Skuwahi kuota ndoto za ajabu ila tumbo kujaa gesi, kukosa choo, uchovu + usingizi + kuhisi kutapika baada ya kuyanywa.
 
Back
Top Bottom