Bado sijapata hata wa kuni-PM

Bado sijapata hata wa kuni-PM

Mi sizitaki we unazitaka kweli tunatofautianaa!!!!
Uwe unaandika mapoint ya ukweli halaf na kiingreza kingi mbona utawakamataa tu!!!!!

Una maana sie tuliyopishana na kingeleza hapa tutazeekea tunapiga punyeto?
 
We ushatuma ngapi, "ukitaka kula lazima uliwe" By J.K.
 
Endelea kungoja may be tomorrow utaona pm zakutosha wamesikia kilio chako
 
Una maana sie tuliyopishana na kingeleza hapa tutazeekea tunapiga punyeto?

Ee na kama haujafika hata SA ukatuambia ile mitaa ya huko humi Jf pm utaisikiaa tu kwa kina Money stunna
 
Back
Top Bottom