hahahahaaaaa!!! kumbe wewe ni mvulana? ok, samahani bana nimepaliwa, unajua kwenye uvulana kuna mengi sana yanayopitiwa,
mojawapo ni hii stage ya foolish age ambayo nadhani ni moja kati ya chronic probleem why boys get lost into the jungle of problems.. hasa sex hii unayoililia wewe....
sikiliza nikwambie, kama wewe bado uko shule, achana na mchezo mbaya wa wanawake na wasichana, stick kwanza kwenye masomo yako.. utafanikiwa!
hivi si umeona division 0 ya point 49?
hii ni hatari sana kwa taifa mdogo wangu, usililie wanawake wala watu wa kukupm, lengo la kuwa jf si kutumiana pm! hii sio facebook wa badoo.. huu ni mandao wa watu ambao wanakutana na kupeana mawazo ya kiutu uzima.. mawazo yanayojenga, si kubomoa..
kauli mbiu ya hapa, ni kwamba unaongea openly, critically thinking... without breaking laws and regulations.. jf ni kama nchi vile! ina kila kitu ndani..
by the way, kuhusu avatar... unaweza kuiacha hiyo, kitakachoku-determine, ni wewe sasa utakavyokuwa unaongea hapa jamvini..
kuhusu mimi, MIMI NI MWANAUME WA SHOKA...