ANT DRUGS
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 5,461
- 6,822
Wa Kwanza mimiAzam DC wakikaa vizuri hapa, wanaweza wakavuna mashabiki wakutosha.
Wa Kwanza mimiAzam DC wakikaa vizuri hapa, wanaweza wakavuna mashabiki wakutosha.
Lazima tujitofautishe na siasa kama kweli tunapenda kuendelea mbele hasa kufika mbali.Viongozi wetu Hata wenye pesa nao ni waoga sana
Ndio maana huwa mnaambiwa hamna akili.Nikiri wazi mimi ni shabiki wa Yanga kindakindaki kutoka moyoni. Lakini kwa hiki kilichofanyika imekua chukizo kwangu na kwa wengine wengi kama mimi. Najua wengine watabeza ila tayari nime unfollow kuanzia page ya Instagram mpaka viongozi wote wa Yanga.
Katika wakati kama huu hawakupaswa kutugawa hivi. Nakiri wazi nitabaki kuwa shabiki wa mpira kwa kuangalizia mabanda umiza tu, hata jezi sinunui mmetukera sana viongozi.
Shame Shame Shame.
Naunga mkono hoja , hata ukiwa Shabiki wa mpira automatically lazima akili yako iwe na matatizoUtarudi tuu, ukiwa shabiki wa simba na Yanga ni lazima uwe na matatizo ya akili.
Yanga ni Taasisi sawa na TEC,BAKWATA,CHUO KIKUU kuinasabisha na CCM ni kutugawa wanachama bila sababu na kuiharibia ccm na nchi kwa ujumla wake. Ombeni radhi kwa wanachamaNdugu mimi ni shabiki wa mpira. Ulianza mpira ndio ikaja Yanga. Matatizo yako ya akili usiyahusishe na ushabiki wangu
Ambaye huna akili ni wewe. Yanga haina chembe wala harufu namambo ya siasa ni kupotoka kwa baadhi ya viongozi wanaojisahau na kulewa sifa kutaka kuihusisha na siasa. PatheticNdio maana huwa mnaambiwa hamna akili.
Mbona yanga ni timu ya ccm kitambo?
Na miaka ya 90 walikuwa wakifunga goli wanashangilia "ccm..ccm..ccm!"
Unanishangaza eti ulikuwa hujui hili
Exactly. Ni lazima waombe radhi kuinajisi YangaYanga ni Taasisi sawa na TEC,BAKWATA,CHUO KIKUU kuinasabisha na CCM ni kutugawa wanachama bila sababu na kuiharibia ccm na nchi kwa ujumla wake. Ombeni radhi kwa wanachama
Sasa yeye ametumia nafasi yake kuichafua Yanga. Yan ameitumia Yanga kwa maslahi yake binafsiHapo mwenye shida ni Hersi na sio Yanga. Yanga ni taasisi ambayo ina watu nyuma yake kuanzia mashabiki, wanachama, viongozi akiwemo huyo Hersi. Amelewa sifs anataka kuikojolea timu yetu. Aache uhuni, Yanga ni kubwa yeye ni punje tu ya mchanga kwenye bahari. Aache ungese.
Hta kama mtu atarudi kuishabikia Yanga au kuendelea kuisapoti kwa namna yoyote ile, kuna sehemu ya funzo ambayo viongozi wa klabu watakuwa wamelipata.Naunga mkono hoja , hata ukiwa Shabiki wa mpira automatically lazima akili yako iwe na matatizo
Kumbe una kadi ya CcmNi vizuri akajitokeza hadharani na kuondoa hii sintofahamu. Hata mimi Yanga damdam pamoja na kumiliki kadi ya ccm, bado sijafurahishwa hata kidogo na hiki kitendo chake cha kujipendekeza kwa Bibi wa Kizimkazi, kupitia mgongo wa klabu ya Yanga anayo iongoza.
Wengi pesa zao sio safi ndio maana wanajipendekeza kwa viongozi wa SerikaliViongozi wetu Hata wenye pesa nao ni waoga sana
Kuna mazingira unalazimishwa tu kuwa na kadi ya chama hata kama hukubaliani na itikadi zake. Na usipokuwa nayo wanakutenga huku wakisema pembeni "huyu siyo mwenzetu"Kumbe una kadi ya Ccm