Mr. Mangi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,515
- 766
Kwa nionavyo Tume inavyosoma matokeo Lowassa ana nafasi kubwa bado. Kwa mujibu wa tume wanasoma matokeo yaliyowafikia na mpaka sasa matokeo yaliyosomwa Magufuli anafanya vizuri ila sehemu kubwa ya matokeo hayo ni ya ngome za CCM kama vile Tabora, Dodoma, Singida, Mtwara, Unguja n.k na mikoa hiyo tume inasoma matokeo karibia ya majimbo yote ila tatizo katika ngome za CCM hamna jimbo Magufuli amemzidi lowassa sana wamekuwa wakipishina kwa tofauti ya kura elfu 10 hadi 30.
Lowassa bado ana akiba kubwa ya kura kwani ngome zake nyingi hazijasomwa na hata iliposomwa ilionesha tofauti kubwa sana mfano jimbo la Arumeru Magharib Lowassa kamzidi Magufuli kwa zaidi ya kura elfu 80 ambazo zinatosha kabisa kusawazisha matokeo mpaka sasa hapo bado Dar, Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, n.k
Makamanda msife moyo wametanguliza baiskeli ya barafu jangwani
Lowassa bado ana akiba kubwa ya kura kwani ngome zake nyingi hazijasomwa na hata iliposomwa ilionesha tofauti kubwa sana mfano jimbo la Arumeru Magharib Lowassa kamzidi Magufuli kwa zaidi ya kura elfu 80 ambazo zinatosha kabisa kusawazisha matokeo mpaka sasa hapo bado Dar, Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, n.k
Makamanda msife moyo wametanguliza baiskeli ya barafu jangwani