Bado Lowassa ana nafasi kubwa ya kushinda

TUME ni ya CCM...kuna uwezekano mkubwa, matokeo ya KURA zote kabla ya KWENDA NEC.... zinapitia IT ya CCM kwa njia ya mtandao, then ndio IT ya CCM inatuma NEC kwa njia ya ku print..!!! Hili liko wazi...!!
 
...tume hii ya uchaguzi si huru na haki...na ukiona wanachelewa kutangaza matokeo jua kuna kitu kinapikwa nyuma ya pazia....hata waangalizi wa kimataifa wamelalamikia ucheleweshwaji huu....maana kama kura zimeshahesabiwa huko mikoani ni vipi wanachelewesha kutangaza???..kwanini inachukua mda hivyo??

....something fishy is going on behind the scenes...tume hii si huru ndio jibu...

...utashangaa kule alikshind magufuli wanatangaza fasta...lakini kule ccm walikobwagwa zinacheleweshwa...kwanini??

....nina imani kama magufuli angekuwa ameshinda kwa uhakika basi leo tungukuwa tumeshatangaziwa...lakini kwa kuwa si hivyo basi tunana kinachoendelea....sioni sababu nyingine ya kuchelewesha matokeo hivyo katika dunia hii ya digital applications...
 
Naomba mnitajie ngome za Lowassa ambazo mnasema bado hazijatolewa matokeo. Mimi ninavyojua mpaka sasa Arusha mjini matokeo tayari, Moshi mjini matokeo tayari, Mbeya matokeo tayari, Monduli matokeo tayari. Labda bado Dar es Salaam, lakini pia hapo Dar kura zitakuwa nusu kwa nusu. Kwa maana hiyo Magufuli bado ataendelea kuongoza. Awali ni awali tu, hakunaga awali mbovu hata siku moja.

Mimi nataka mnitajie hizo ngome za lowassa ambazo mnazisema.
 
Acha Maiti Zipeane Matumaini Wa kufufuka wakati haziwezi hats kunyoosha vidole.

Watu humu ndani wanaweza kuipa matumaini hata maiti kuwa itafufuka tu
 
Kwani Wewe ULIJUA Angeshinda Mkuu? Ogopa Sana Watu Waitwao Watanzania Kwani Ni WANAFIKI WALIOTUKUKA. Walikuwa Wakijaa Ktk Mikutano Yako Na Wakisema Ni MAFURIKO YA TSUNAMI Huku Watu WAKIZIMIA Na Wengine Hadi KUPIGA DEKI BARABARA Leo Hao Hao Watu Na Hiyo Hiyo Mikoa Asilimia Kubwa WAMEMPIGIA KURA Dr. MAGUFULI. Mfano ANGALIA Lile NYOMI La TABORA, TANGA, MTWARA Na LINDI Lakini Ndiko Huko Huko WANAMUME WAMEMCHINJA Mtu. Na Hapa Ndipo Ninapowapenda WATANZANIA Kuwa UNAVYOWAONA SIVYO WALIVYO MIOYONI.

Jamaa umenifurahisha sana.
Watu walikuwa wanaenda kushangaa mvi na jinsi lowassa anavotetemeka.
 
Unaiongelea mbeya ipi?sijasikia 80,000 za mbaya mjini,wala 55000 za arumeru mashariki,wala majimbo ya dar ambayo ubunge tayari washabeba.Karatu?simanjiro?tanga mjini?Same Mashariki?na kumbuka haya ni majimbo makubwa makubwa sio kama majority ya hayo yaliyotangazwa.

Ngome za ukawa zilizobaki ni majimbo ya Dar, Mbeya mjini, Arumeru mashariki, Ngorongoro, karatu, hai, rombo, moshi vijijini, vunjo na same mashariki. Kumbuka mwanza tumegusa Ukerewe tu hatujaingia Geita, Chato mpaka shinyanga. endeleeni kuishi kwa Matumaini ila mpaka leo usiku kitakua kimeeleweka.
 
Back
Top Bottom